Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 324
Kukicha au kukikucha?
Haya maneno yamekuwa yakitumika mara nyingi sana ila sijui lipi ni sahihi na lipi sio sahihi.
1:Kukicha tu naanza safari.
2:Kukikucha tu '''''''''''’'"'''''’'''''’''
3:Nasubiri kuche ndipo nianze safari.
4:"'’'''''''''''''''''''kukuche"""""""'"'''''’''"""'''
Haya maneno yamekuwa yakitumika mara nyingi sana ila sijui lipi ni sahihi na lipi sio sahihi.
1:Kukicha tu naanza safari.
2:Kukikucha tu '''''''''''’'"'''''’'''''’''
3:Nasubiri kuche ndipo nianze safari.
4:"'’'''''''''''''''''''kukuche"""""""'"'''''’''"""'''