Al-shabaab
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,791
- 617
Huwanajiuliza sana kwa nini mwanamme akichapiwa mke/mpenzi wake huwa anaumia sana
tofauti na mwanaume akitembea na mwanamke mwingine mwanamke huwa anachukulia poa tu?
hapa inamaanisha mwanamke anathaminiwa sana na mwanaume tofauti na jinsi mwanamke anayomthamini mwanaume.,
tofauti na mwanaume akitembea na mwanamke mwingine mwanamke huwa anachukulia poa tu?
hapa inamaanisha mwanamke anathaminiwa sana na mwanaume tofauti na jinsi mwanamke anayomthamini mwanaume.,