#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

una hulka za kitalibani za kutaka watu wengine waishi kama unavyoamini wewe.

kama umechanja na ukichanja uko salama sasa una shida gani na mtu ambaye amechagua kutokuchanja na kama ni kusambaza si wanasambaza kwa wasiochanja ambao wana hiari ya kuamua kuchanja au kuacha wakabiliwe na hatari.

watu wanataka kujua kama hawa wanaokufa unaowasema kweli wote hawajachanja? umemtaja Zacharia je hakuwa amechanja? wapo watu kama mzee keenja je hakuchanja? kuna mzee wetu wa lokomotive faint je hakuchanja?

ninachojaribu kusema ni kwa watu wenye akili kama ikitokea hata waliochanja wakapata madhara tena basi watu hujiuliza kuwa hapa tunachokifanya ni nini? lakini wasiokuwa na fikra wao huwa hawajali matokeo, wakianzisha kampeni fulani basi wao hukomaa na kampeni
Endeleeni kubisha mnasahau kuwa kule Ikulu, Ofisi nzima ilipukutika!
Sasa usiniulize walichanja au la!
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Kama umechanjwa ili kuzuia ugonjwa, kw anini unaogopa asiyechanjwa?
Sasa hiyo chanjo inakinga nini?
Hapo ndipo mlipopigwa na mkaingia laini.
Baada ya hapo wataanza kusema wanaodondoka ni wale waSIOchanjwa kumbe ni waLIOchanjwa.
Hicho ndicho kinachoendelea ulaya na marekani.
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Han pope alichanja...
 
Kama umechanjwa ili kuzuia ugonjwa, kw anini unaogopa asiyechanjwa?
Sasa hiyo chanjo inakinga nini?
Hapo ndipo mlipopigwa na mkaingia laini.
Baada ya hapo wataanza kusema wanaodondoka ni wale waSIOchanjwa kumbe ni waLIOchanjwa.
Hicho ndicho kinachoendelea ulaya na marekani.
Nyie wenye vichwa vigumu kuelewa mna shida sana.
Ndio mliopasi mitihani baada kuibia na kuhonga mpate mitihani toka kwa walimu fiksi.

Siyo rahisi kwenu kuelewa kuwa CHANJO SIYO DAWA Y TIBA, NI KINGA!
Na hata hiyo kinga si 100% bali ukipata chanjo uwezekano wa kulazwa na kula oksijeni hospitalini unakuwa mdogo.
Inabidi tuwaelimishe maana vichwa vyenu havina uwezo kufikiri.
Unakoongelea Marekani na Ulaya wanaolazwa kwa wingi NI WALE WASIOACHANJWA kwa asilimia 99%.
Na wanokufa hata baada ya kuchanja ni 0.01%-na hii ni kutokana na magonjwa mengine tu.

Sijui mkuu we kabila gani nikujulishe kukwenu, pengine utaelewa.
 
Endeleeni kubisha mnasahau kuwa kule Ikulu, Ofisi nzima ilipukutika!
Sasa usiniulize walichanja au la!
nimekueleza kwa watu wenye akili huwa wanawaza.

hawa watu walikuwa wanaishi na familia zao, eti ugonjwa ukaingia ukapukutisha watu muhimu tu lakini siyo familia zao walizokuwa wakiishi nazo. huoni hapo kuna jambo la kuawa wewe?

tu fikirie kuna mtu mmoja alipata ugonjwa, alafu akawaambukiza wengine wa ofisini tu lakini majumbani kwao hawakuambukizwa.

kwa mwenye fikra atajiuliza mambo mengi, acheni kukalili nyie ngozi nyeusi
 
nimekueleza kwa watu wenye akili huwa wanawaza.

hawa watu walikuwa wanaishi na familia zao, eti ugonjwa ukaingia ukapukutisha watu muhimu tu lakini siyo familia zao walizokuwa wakiishi nazo. huoni hapo kuna jambo la kuawa wewe?

tu fikirie kuna mtu mmoja alipata ugonjwa, alafu akawaambukiza wengine wa ofisini tu lakini majumbani kwao hawakuambukizwa.

kwa mwenye fikra atajiuliza mambo mengi, acheni kukalili nyie ngozi nyeusi
Wamfahamu yule bilionea wa mabasi Kilimanjaro
Wamfahamu Keenja?
Wamfahamu Dr Mwakyusa?
Nyie vichwa vigumu mpaka yawapate.
 
Nyie wenye vichwa vigumu kuelewa mna shida sana.
Ndio mliopasi mitihani baada kuibia na kuhonga mpate mitihani toka kwa walimu fiksi.

Siyo rahisi kwenu kuelewa kuwa CHANJO SIYO DAWA Y TIBA, NI KINGA!
Na hata hiyo kinga si 100% bali ukipata chanjo uwezekano wa kulazwa na kula oksijeni hospitalini unakuwa mdogo.
Inabidi tuwaelimishe maana vichwa vyenu havina uwezo kufikiri.
Unakoongelea Marekani na Ulaya wanaolazwa kwa wingi NI WALE WASIOACHANJWA kwa asilimia 99%.
Na wanokufa hata baada ya kuchanja ni 0.01%-na hii ni kutokana na magonjwa mengine tu.

Sijui mkuu we kabila gani nikujulishe kukwenu, pengine utaelewa.
Mkuu hata ungenieleza kwa lugha zote, sitaelewa. Kuna ushauri wa bure toka kwa huyu baba kwako. Anasema STAND YOUR GROUND - kama bado hujaenda. Kama umeshaenda hilo ni suala jingine.
 
nimekueleza kwa watu wenye akili huwa wanawaza.

hawa watu walikuwa wanaishi na familia zao, eti ugonjwa ukaingia ukapukutisha watu muhimu tu lakini siyo familia zao walizokuwa wakiishi nazo. huoni hapo kuna jambo la kuawa wewe?

tu fikirie kuna mtu mmoja alipata ugonjwa, alafu akawaambukiza wengine wa ofisini tu lakini majumbani kwao hawakuambukizwa.

kwa mwenye fikra atajiuliza mambo mengi, acheni kukalili nyie ngozi nyeusi
Mkuu hongera sana kwa jicho linaloona between the lines.
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Unfortunately:-
1) Vaccines do not gurantee 100% protection from re-infection (but) raher minimizes incidences of worsening effects that may prompt
hospitalization, Oxygen administration e.t.c. that's why there have been widely reported cases of escalating rate of infections despite
massive vaccination in some countries.

2) Hence even if vaccinated you still need to take necessary precautions and protective measures including wearing a MASK e.t.c


So there is no need of making vaccination against COVID-19 becoming mandatory in belief/as a way of combat infection/re-infection rates.
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.
Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.
Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.
Umeanza CHOKO CHOKO Zako

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wajinga zaidi yako ni wale waliokwisha fariki kwa covid.
Na wewe kubwa lao omba tu uipate.
Been vaccinated with jab doesn't make you immortal , pathetic idiot.
Perhaps now you have started to express the short term adverse effects of it.
Take care of yourself
una hulka za kitalibani za kutaka watu wengine waishi kama unavyoamini wewe.

kama umechanja na ukichanja uko salama sasa una shida gani na mtu ambaye amechagua kutokuchanja na kama ni kusambaza si wanasambaza kwa wasiochanja ambao wana hiari ya kuamua kuchanja au kuacha wakabiliwe na hatari.

watu wanataka kujua kama hawa wanaokufa unaowasema kweli wote hawajachanja? umemtaja Zacharia je hakuwa amechanja? wapo watu kama mzee keenja je hakuchanja? kuna mzee wetu wa lokomotive faint je hakuchanja?

ninachojaribu kusema ni kwa watu wenye akili kama ikitokea hata waliochanja wakapata madhara tena basi watu hujiuliza kuwa hapa tunachokifanya ni nini? lakini wasiokuwa na fikra wao huwa hawajali matokeo, wakianzisha kampeni fulani basi wao hukomaa na kampeni
Umenena vyema Sana Mkuu.
Yaani mtu akichanja tu .anaanza kuforce na wengine wachanje😃😃
Wacha sisi tuwe control trials za wale unvaccinated kwa hii cross section Al study vya 10years
 
Kachanje wewe halafu uache wasio chanja wapate funzo kwa kutochanja kwao. Kwani ukichanja si hautopata corona? Sasa mwenzio asipochanjwa wewe wasiwasi wako nini?
 
Been vaccinated with jab doesn't make you immortal , pathetic idiot.
Perhaps now you have started to express the short term adverse effects of it.
Take care of yourself

Umenena vyema Sana Mkuu.
Yaani mtu akichanja tu .anaanza kuforce na wengine wachanje😃😃
Wacha sisi tuwe control trials za wale unvaccinated kwa hii cross section Al study vya 10years
Labda ndo side effect mojawapo..kulazimisha wengine😀😂
 
Mbona maukimwi hamlazimishi watu kupima waacheni wafanyakazi kwanza hata mishahara na vyeo hamjawahi kuwaongezea leo hii mnatokwa povu ooh wachanjwe, acheni zenu yaaki wafanyakazi wa bongo wana shida sana
 
We mjinga mimi nimechanja, tena wakati bado ni hiari.

Msio na upeo wa kufikiri mbali zaidi ya pua zenu mnashindwa kudadavua mambo basic kabisa.
Marekani ya watu milioni 300, karibia milioni 150 tayari wamechanja.
Uingereza ya watu milioni 68, tayari milioni 48 wamechanja.
sitegemei hao watu kufa kesho wala keshokutwa wala miaka 10 ijayo.
Hii ndiyo faida ya watu waliosoma na kuelewa.

Sasa ninyi vilaza wa kutoka vijijini juzi mmeaminishwa kujifukiza, hata sayansi kwenu ni uchawi.
Taabu kwer kwer!
Wewe kinachokuwasha washa ni nini au unataka kufumuliwa marinda! Wamarekani ni wao sisi ni wabongo kama unawashwa nenda kaishi nao hao wamarekani wako, sisi tuache na bongo yetu na hatuchanji, msenge wee.
Nakupa taarifa sasa kwenye taasisi ninayofanyia kazi tupo watu zaidi ya 1200 sehemu moja na hakuna anayetaka kuchanja na hatuvai barakoa wala kunawa
Wametuwekea matanki ya kunawa kila sehemu na hakuna anayehangaika nayo, mwazoni kwenye geti waliweka masheria hakuna kuingia hadi uwe umevaa barakoa, wakawazuia watu kesho yake mwendo ule ule, barakoa ni kama Gatepass.
Barakoa zinavaliwa na wakuu wa idara nao wamepiga mkwara weee watu wavae barakoa lakini wapina wao siku hizi wala hawavai hadi aje mgeni mwenye cheo kikubwa huko serikalini.
Mtapata tabu sana hata mtunyime mishahara hatuchanji.
 
Back
Top Bottom