#COVID19 Kuchanja sasa kuwe lazima, hasa wafanyakazi serikalini. Chanja au achia ngazi

Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.

UPDATE
Sasa kuchanja ni lazima kwa wafanya kazi serikalini.
Nimesikitaka sana kusikia kuwa kuna wanoa pokea rushwa na kuwapa watu vyeti kuthibitisha kuwa wamechanjwa korona.
 
Sasa inabidi Serikali ichukue uamuzi mgumu juu ya chanjo.

Wafanyakazi Serikalini lazima wachanje, au waachie ngazi kutazama afya zao.

Tutavaa barakoa hadi lini?

Tatizo kubwa ni hao wa Gwajima, wasiotaka kuchanja na ndio kwa kiasi kikubwa wanaeneza Covid katika jamii.

Ni jambo la kusikitisha vifo vya hivi karibuni familia ya Hanspoppe, kuna waliokataa kuchanja, mauti imewatembelea.

Imefika muda tusicheze na hili janga.

YANAYOJIRI
In just three weeks, six unvaccinated members of a Florida family died after contracting COVID-19.

After attending the funeral for 48-year-old family member Tyrone Moreland, 89-year-old grandmother Lillie Mae Dukes Moreland was hospitalized with the virus and died just 24 hours later, according to The Palm Beach Post.

Three more cousins died shortly after their grandmother, and the family's most recent loss was 44-year-old Trentarian Moreland, who died on Sunday.

UPDATE
Sasa kuchanja ni lazima kwa wafanya kazi serikalini.
We ni mbwa au ndezi au una asili ya nguchiro
 
Pia kuna waliochanjwa wengi wana hofu hawajui nini kitawapata hapo baadae, wanataka kushinikiza wote wachanjwe ili kama kuna madhara yasiwapate peke yao, hii ni roho mbaya na ya kichawi.

Ikumbukwe hii chanjo siyo ya kwanza zipo zizilizotangulia, Kwenye zilizotangulia, ukishampa taarifa jirani yako basi
unaendelea na maisha suala la ataenda kuchanjwa au la hatufuatilii, jiulize hii mbona wakishachanjwa wanataka na wewe uende hata kama ni kwa lazima?
Acha ujinga na upuuzi wa kulazimisha watu wachanje,we unafaidika nn mi nikichanja,mbn kwny mwendo kasi, uwanjani mipira cj hiz hatuvai barakoa na wameshatuacha,tulifunikwa na damu ya Yesu nyie wafuasi wa shetani mmbaki na ushetani wenu,kwani malauka wachafu wapo wengi na wanawatumia nyie msiojielewa, unadhani ukipigwa chanjo hutokufa,hutougua,chanjo ya ukimwi na malaria iko wapi,pimbi ww
 
Acha ujinga na upuuzi wa kulazimisha watu wachanje,we unafaidika nn mi nikichanja,mbn kwny mwendo kasi, uwanjani mipira cj hiz hatuvai barakoa na wameshatuacha,tulifunikwa na damu ya Yesu nyie wafuasi wa shetani mmbaki na ushetani wenu,kwani malauka wachafu wapo wengi na wanawatumia nyie msiojielewa, unadhani ukipigwa chanjo hutokufa,hutougua,chanjo ya ukimwi na malaria iko wapi,pimbi ww
Uamuzi mzuri. Tupo pamoja katika hilo.
Mimi sio tu kuacha kazi, hata kama ni kufungwa, niko tayari lakini sitachanja inyeshe mvua liwake jua!
 
Acha ujinga na upuuzi wa kulazimisha watu wachanje,we unafaidika nn mi nikichanja,mbn kwny mwendo kasi, uwanjani mipira cj hiz hatuvai barakoa na wameshatuacha,tulifunikwa na damu ya Yesu nyie wafuasi wa shetani mmbaki na ushetani wenu,kwani malauka wachafu wapo wengi na wanawatumia nyie msiojielewa, unadhani ukipigwa chanjo hutokufa,hutougua,chanjo ya ukimwi na malaria iko wapi,pimbi ww
Dah,rudia kusoma post zangu vizuri,kama huoni vizuri tumia miwani ataelewa nilichoandika.
 
Siku gani za mwisho ? Kama alihimiza watu wachanjwe ilikuwaje yeye awahimize wengine kuchanjwa wakati yeye ajachanjwa tumia akili,kama serikali iliamua kwenda kinyume na magufuli kwanini hawa tangazi wagonjwa wa covidi siku kwa siku tena watuambie na walio ugua wakiwa wamechanjwa na walio kufa licha ya kuchanjwa ,unadhani kwanini serikali haiwezi kusema wanao kufa licha ya kuchanja
Ukiwa tayari una information mikononi mwako.
Kutumia akili ni hiari yako, kama kuchanjwa.
 
Hawazidi hata milioni katika watu milioni 60.
Lakini ndio wanaweza kuwa a vehicle of transmission ya covid19.
Daktari anaona wagonjw wangapi kwa siku, nesi je?
Hakimu kizimbai anakuwa na wananchi wangapi kila siku.
Askari mmoja anhudumia mahabusi wangapi kwa wiki!
Natumaini unaelewa ninako elekea.
Kwa hiyo wale watu wote wanaotumia usafiri wa public mfano mabasi ya Mwendo kasi, daladala na tunavyojazana mule hatuwezi kuambukizana? Au wale wote wanaotumia usafiri huo ni Watumishi wa Serikali tu? Watu wote wanaouza bidhaa kwenye masoko na wanunuzi wanaonunua bidhaa hizo wana tofauti gani na hao madaktari na manesi? Au nao ni watumishi wa Serikali. Tunaposafiri kwenye mabasi je? Tunapohudhuria mechi za mpira wa miguu, Yanga Day, Simba Day wale wote ni watumishi wa serikali? What about in supermarkets, kwenye maduka mbalimbali wote wanaohudumia huko ni Civil Servants?
 
Back
Top Bottom