Leo kuna mchezo wa soka, robo fainali ya Kombe la shirikisho baina ya Simba ya Tanzania na Orando Pirates ya Afrika kusini.
Taarifa zilizotufikia chumba cha habari ni kwamba Mgeni rasmi atakuwa Abrahaman Kinana Makamu mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi.
Mechi hii ni ya kitaifa na inasubiriwa na watanzania wa vyama vyote, kuifanya ya CCM ni kuwanyima haki wsnachama wrngine.
Soka ni burudani na nyenzo ya umoja katika jamii na taifa. Kuingiza itikadi katika soka, ni hatari kwa soka lenyewe na kwa taifa kwa ujumla.
Kwa kitendo hiki, Simba wametukosea sana na kujishushia heshima kitaifa na kimataifa
Taarifa zilizotufikia chumba cha habari ni kwamba Mgeni rasmi atakuwa Abrahaman Kinana Makamu mwenyekiti wa Chama cha mapinduzi.
Mechi hii ni ya kitaifa na inasubiriwa na watanzania wa vyama vyote, kuifanya ya CCM ni kuwanyima haki wsnachama wrngine.
Soka ni burudani na nyenzo ya umoja katika jamii na taifa. Kuingiza itikadi katika soka, ni hatari kwa soka lenyewe na kwa taifa kwa ujumla.
Kwa kitendo hiki, Simba wametukosea sana na kujishushia heshima kitaifa na kimataifa