Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,756
- 8,493
Wakuu, naomba kueleweshwa. Ukienda kwenye hardware wanakuambia tunachanganya rangi kwa kompyuta. Hii maana yake teknokojia ipoje?
Jane soma hiyo uone kama utapata ulichouliza.... to be honest sijaisoma, cant make anya summary!Wakuu, naomba kueleweshwa. Ukienda kwenye hardware wanakuambia tunachanganya rangi kwa kompyuta. Hii maana yake teknokojia ipoje?
Mkuu Chukulia mfano kampuni kama coca cola ina rangi yake nyekundu Dunia nzima inatumika hio hio hutakuta siku hata moja zinatofautiana.Wakuu, naomba kueleweshwa. Ukienda kwenye hardware wanakuambia tunachanganya rangi kwa kompyuta. Hii maana yake teknokojia ipoje?
Uelewa wa rangi uko hivi; Rangi za msingi ni Nyekundu(Red), Kijani(Green) na Samawati(blue) yaani RGB.
Usipate taabu namna ya kueleza hisia zako kwangu, mi mbona niko poa tu, twenzetu homeAsanteni sana wote kwa majibu yenye kujitosheleza. Nadhani hili ndiyo jukwaa lililojaa watu wenye uelewa mpana wa mambo, compared to majukwaa ya akina Bujibuji
Ashee! Mimi nimetoa general theory lkn. Practical yaweza kudeviate kidogo kulingana na lengo.Mkuu hapo umeongelea primary colors za mwanga (Light) ndio RGB. lakini kwenye colored paint primary colors ni Red, Blue na Yellow. Ambapo pia kuna wakati hata nyeusi inahusika ingawa nyeusi haitambuliki kama rangi ila inaweza kuwepo kama ilivyo kwenye printer CMYK
nimependa, hizo namba kwa mfano R 255 ni nini inawakilishwa, haraka haraka nikajua ni kiasi cha hiyo rangi ila hapo chini kuna mchanganyiko una C63M0Y97 NA K0, hizo zero zina maana gan?Mkuu Chukulia mfano kampuni kama coca cola ina rangi yake nyekundu Dunia nzima inatumika hio hio hutakuta siku hata moja zinatofautiana.
Tanzania kuna Fundi maiko huko ulaya kuna John doe iweje wataalamu wote hawa waweze kumatch hizi rangi na zikatokea vizuri? Hapa ndio computer inafanya kazi. Kunakuwa na formula maalumu ambayo ukiitumia unapata rangi ile ile.
Kuna mdau ameelezea RGB hapo juu na Mimi nitairudia, huu ni mfumo wa kutumia rangi Nyekundu, kijani na Blue kupata rangi zote duniani, mfano ukiweka nyekundu 255, kijani 255 na bluu 255 unapata rangi nyeupe,
Hii RGB ni standard moja ila zipo standard nyingi na kwenye hardware vitu kama rangi za nyumba ama tiles kuna standard kama PMS na CYMK
Mfano hio CYMK inatumia rangi 4 cyan, Yellow, Magenta na black, ukichanganya hizi rangi unapata rangi yoyote unavyotaka.
Hivyo kujibu swali mtu anaposema anachanganya rangi na computer anamaanisha ana uwezo wa kutoa rangi yoyote duniani kwa usahihi na sio kukisia kisia tu kama mafundi mtaani.
0 ina maana hakuna kabisa kwenye RGB hii inakuwa ni rangi nyeusi color zote zikiwa zero.nimependa, hizo namba kwa mfano R 255 ni nini inawakilishwa, haraka haraka nikajua ni kiasi cha hiyo rangi ila hapo chini kuna mchanganyiko una C63M0Y97 NA K0, hizo zero zina maana gan?