teac kapex
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 470
- 136
Wadau naomba mwenye ujuzi wa kuchakachua modem ya voda ili isome line zote aweke hapa mautundu
Maelezo hayajajitolesheleza kwa sababu si watu wote wanatumia na kujijua modem ya voda.Wadau naomba mwenye ujuzi wa kuchakachua modem ya voda ili isome line zote aweke hapa mautundu
Hiyo modem ni ZTE K3772-Z unaweza ku-unlock kwa kutumia dc unlocker, baadae nitakuwekea crack yake au unaweza tafuta mwenyewe.
speed ni ISP wako, siyo modem mkuuKwani kwa sasa ni modem gani nzuri iliyo na speed na isiyochagua line?
Sent from my TECNO L9 Plus using Tapatalk