Pumigogolo
Member
- Oct 29, 2014
- 49
- 42
Kuna watu wana tabia ya kuchagua kazi wakati hawana kazi, kisa wanataka kazi walizosomea tu, au wanazodai zinalipa, wakati wanaweza kufanya nyingine, wananikera sana. Tena utakuta wakati mwingine kazi wanayoidharau ndo anayofanya mtu wanayekaa ndani ya nyumba yake, kulalia kitanda chake na kula msosi wake. Na wamekaa hapo miaka miwili mitatu wanangoja kazi walizosomea au wanazodai zinalipa. Tubadilike! anza iliyopo endelea kutafuta hiyo unayopenda, uliyosomea au unayodai inalipa!