Nipigie
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 121
- 7
Habari wakuu.
Kutokana na desturi zetu, kujamba au kutoa hewa ile chafu mbele za watu si vizuri na mara nyingi wazee wamefikia hadi kusingizia wajukuu au watoto kuwa ndoo wamechafua hewa kumbe ni wao. Ila nasikia (not proved) kuwa wazungu wapo wazi akifyatua hiyo kitu basi anawaambia tu samahani (am sorry) .Swali Je, ni haki kama kula?? au nini cha kufanya ikitokea, au lugha ghani itumike. Maan sometime hii kitu huja bila kujipanga??.
Kutokana na desturi zetu, kujamba au kutoa hewa ile chafu mbele za watu si vizuri na mara nyingi wazee wamefikia hadi kusingizia wajukuu au watoto kuwa ndoo wamechafua hewa kumbe ni wao. Ila nasikia (not proved) kuwa wazungu wapo wazi akifyatua hiyo kitu basi anawaambia tu samahani (am sorry) .Swali Je, ni haki kama kula?? au nini cha kufanya ikitokea, au lugha ghani itumike. Maan sometime hii kitu huja bila kujipanga??.