Habari kwenu!
Wanawake wengi enzi za uchumba hujituma sana na kuonyesha kwamba kweli ni wanawake wanaofaa ktk ndoa lakini wanapoolewa tu hubadilika kama ifuatavyo:
1. Alikuwa msafi sana lakini akiolewa uchafu unaanza.Kosa kubwa sana
2. Alikuwa anajituma ktk upishi mara tu baada ya kuolewa basi anaanza kumuachia house maid afanye kila kitu, mwisho wa siku mwabwana wasio na uvumilivu wanamfanya na house maid kuwa mke wa pili.
3. Kujituma ktk tendo la ndoa kunapungua.Kosa kubwa sana maana ndoa bila tendo la ndoa hakuna ndoa.Uchafu, uvivu, kukosa ubunifu kunasababisha ndoa kutetereka.Usishangae kabla ya ndoa wote mlikuwa mnafika lakini baada ya kuoa usishangae akakuambia baby kojoa basi nikalale, Au bado hujakojoa tu?Tena kama amezaa ndiyo usiseme. Vitu kama hivi ni kosa kubwa sana.
4. Kiburi kwa kudhania kwamba kufunga ndoa ndio wamemaliza kila kitu huku wakisahau kwamba penzi linahitaji kupaliliwa kila siku.
Onyo kwa dada zangu wa kikristo:Ndoa ya mke mmoja isiwe kigezo cha nyinyi kubweteka pia muelewe kwamba shetani yuko kazini kila saa na wanawake warembo wanazaliwa kila siku.Ukizubaa utaletewa virusi ndani mwako bila kujua.
Katika mchakato wa kuelimishana nyote mnakaribishwa kuchangia.
Wanawake wengi enzi za uchumba hujituma sana na kuonyesha kwamba kweli ni wanawake wanaofaa ktk ndoa lakini wanapoolewa tu hubadilika kama ifuatavyo:
1. Alikuwa msafi sana lakini akiolewa uchafu unaanza.Kosa kubwa sana
2. Alikuwa anajituma ktk upishi mara tu baada ya kuolewa basi anaanza kumuachia house maid afanye kila kitu, mwisho wa siku mwabwana wasio na uvumilivu wanamfanya na house maid kuwa mke wa pili.
3. Kujituma ktk tendo la ndoa kunapungua.Kosa kubwa sana maana ndoa bila tendo la ndoa hakuna ndoa.Uchafu, uvivu, kukosa ubunifu kunasababisha ndoa kutetereka.Usishangae kabla ya ndoa wote mlikuwa mnafika lakini baada ya kuoa usishangae akakuambia baby kojoa basi nikalale, Au bado hujakojoa tu?Tena kama amezaa ndiyo usiseme. Vitu kama hivi ni kosa kubwa sana.
4. Kiburi kwa kudhania kwamba kufunga ndoa ndio wamemaliza kila kitu huku wakisahau kwamba penzi linahitaji kupaliliwa kila siku.
Onyo kwa dada zangu wa kikristo:Ndoa ya mke mmoja isiwe kigezo cha nyinyi kubweteka pia muelewe kwamba shetani yuko kazini kila saa na wanawake warembo wanazaliwa kila siku.Ukizubaa utaletewa virusi ndani mwako bila kujua.
Katika mchakato wa kuelimishana nyote mnakaribishwa kuchangia.