Narudia tena na tena, mwanandoa yeyote hana sababu yoyote ya msingi au halali ya kuwa na mpango wa kando eti sababu ya madhaifu ya mwenza!
Kama mke mchafu, mvivu, kiburi basi mume naye aweza kuwa mvivu, mkorofi, hawajibiki kitandani, naniliu ndogo, hamudu kutunza mke na watoto, mbabe etc etc!
So tukitumia mapungufu kama justification ya kuchepuka hakuna wa kusalimika!
TUVUMILIANE, TUELEKEZANE NA TUHESHIMIANE.
OOtherwise mtoa mada naunga mkono hoja! wanandoa wote tupalilie ndoa zetu! Msiwaachie wanawake peke yao!
Kama mke mchafu, mvivu, kiburi basi mume naye aweza kuwa mvivu, mkorofi, hawajibiki kitandani, naniliu ndogo, hamudu kutunza mke na watoto, mbabe etc etc!
So tukitumia mapungufu kama justification ya kuchepuka hakuna wa kusalimika!
TUVUMILIANE, TUELEKEZANE NA TUHESHIMIANE.
OOtherwise mtoa mada naunga mkono hoja! wanandoa wote tupalilie ndoa zetu! Msiwaachie wanawake peke yao!