UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,598
- 11,993
Chalii wangu hizo sio story za kwenye kahawa ,huo ndio ukweli Unafikiria Mkapa jana alifuata nini Ikulu ???teh teh teh achaneni na story za vijiweni...
Mnasema ni la Mkapa, sasa jiulize Magufuli angekubali Mkapa abomolewe..
Wengine wanasema na Museven, teh teh story za kwenye kahawa hizo mkuu...