Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 211
Kwa kweli napenda kumpa pole rafiki na ndugu yetu kubenea kwa mikasa ambayo amekuwa akikabiliana nayo.Ila nina mashaka na story ya jana aliyosema kuwa alipigiwa simu na watu asiyo wafahamu kuwa watamuuwa kwa kuwataja vigogo wa kuu wa Richmond.Kwangu mimi nilishangaa maaana hata kamati teule hajaweza kuthibitishia bunge na watanzania kuwa Richmond ni nani? Sasa kumbe yeye kubenea anawafahamu!!!!.
Mimi Lowassa sio ndugu yangu wala simuungi mkono kwa ufisadi na hasara waliyoiletea taifa ila nimekuwa nikisoma sana habari za kubenea anaonekana kama ana fisa na Lowassa au kuna kikundi cha watu watamtumia ili andike habari za kumchafua mwanasiasa huyu kwa sababu tu za kisiasa. Amekuwa bingwa wa kubuni habari juu ya lowassa hata kama hazina ukweli ilimradi tu ziweke mazingira ya kumchafua.Mfano kwa akili tu ya kawaida kama mtu anataka kukuuwa watakupigia simu kweli!!!! na wakueleze kosa lako! hii sitakuwa rahisi kujua na kuwakamata!!!!!,Kwangu mimi nimeona kama ni story nyingine tu ya Kubuni kama ilivyo kawaida ili mradi lowassa achafuke na aonekane mbaya.
Mwanzoni nilikuwa nikifatilia habari alizokuwa akiandika kuhusu Richmond na nilimlaumu sana Lowassa moyoni lakini jinsi siku zinavyozidi kwenda naona wala issue sio richmond kuna jambo jingine ambalo hatujalijua.
Na wasihi maskini watanzania wenzangu kuwa tusipende kupoteza muda na issues ambazo haziwezi kuleta maendeleo tusizipe kipauwu mbele,mikataba vibovu yote ifichuliwe ila kufichua mikataba isiwe ndio ndira ya taifa hebu tuweke national chartered mfano,kwa kueleza madini ya mkoa wa mara yanawezaje kuwaletea watu wa singinda na mtwara maendeleo? au issue kama za elimu afya ,kilimo zifanyweje ili kumkwamua mtanzania.Vinginevyo itakuwa nchi ya porojo tu.
Pia tabia za wivu na majungu hazitaweza kutusaidia sana,nasema hivyo kwa kuwa tangu mwaka jana tumekuwa tukipata email zenye majina ya watoto wa vigogo BOT, ila sikuona jina la mtoto wa kikwete.kumbe alikuwa ameajiriwa na private firm, leo nashangaa wanamuhusisha na ufisadi wa BOT wakati hela za EPA zinaibiwa alikuwa hajaajiriwa ila alikuwa anafanya kama internship tu,Hivi kwa akili za kawaida wanafunzi wanaofanya internship wanaweza kutoa uwamuzi mzito unaohusu jambo lolote ofisini? sasa huyu Ridhawani aliwezaje kushirikishwa katika mkataba wa deep green? na wakati huo kikwete hakuwa rais.
Je kama watoto wa vigogo wana sifa zote za kuajiriwa ina maana hawana haki ya kufanya kazi hapa Tanzania? Tujiulize haya maswala ya mtoto wa nani ana fanya kazi wapi atasaidiaje maendeleo ya nchi.wachunguzwe kama watanzania wengine kama utendaji wao ni mbovu basi wafukuzwe lakini sioni kama ina maitiki kuifanya major issue,kuna vitu vya maana zaidi na vinavyogusa maslahi ya wengi kuliko hili. Naungana na wote wanaopinga ufisadi kwa asilimia 100 ila na wakumbusha kuwa tuvipeleke sambamba na other development issues,mabadiliko yatatokea,hata kama ni CUF,CHADEMA au TLP ipo madarakani
Mimi Lowassa sio ndugu yangu wala simuungi mkono kwa ufisadi na hasara waliyoiletea taifa ila nimekuwa nikisoma sana habari za kubenea anaonekana kama ana fisa na Lowassa au kuna kikundi cha watu watamtumia ili andike habari za kumchafua mwanasiasa huyu kwa sababu tu za kisiasa. Amekuwa bingwa wa kubuni habari juu ya lowassa hata kama hazina ukweli ilimradi tu ziweke mazingira ya kumchafua.Mfano kwa akili tu ya kawaida kama mtu anataka kukuuwa watakupigia simu kweli!!!! na wakueleze kosa lako! hii sitakuwa rahisi kujua na kuwakamata!!!!!,Kwangu mimi nimeona kama ni story nyingine tu ya Kubuni kama ilivyo kawaida ili mradi lowassa achafuke na aonekane mbaya.
Mwanzoni nilikuwa nikifatilia habari alizokuwa akiandika kuhusu Richmond na nilimlaumu sana Lowassa moyoni lakini jinsi siku zinavyozidi kwenda naona wala issue sio richmond kuna jambo jingine ambalo hatujalijua.
Na wasihi maskini watanzania wenzangu kuwa tusipende kupoteza muda na issues ambazo haziwezi kuleta maendeleo tusizipe kipauwu mbele,mikataba vibovu yote ifichuliwe ila kufichua mikataba isiwe ndio ndira ya taifa hebu tuweke national chartered mfano,kwa kueleza madini ya mkoa wa mara yanawezaje kuwaletea watu wa singinda na mtwara maendeleo? au issue kama za elimu afya ,kilimo zifanyweje ili kumkwamua mtanzania.Vinginevyo itakuwa nchi ya porojo tu.
Pia tabia za wivu na majungu hazitaweza kutusaidia sana,nasema hivyo kwa kuwa tangu mwaka jana tumekuwa tukipata email zenye majina ya watoto wa vigogo BOT, ila sikuona jina la mtoto wa kikwete.kumbe alikuwa ameajiriwa na private firm, leo nashangaa wanamuhusisha na ufisadi wa BOT wakati hela za EPA zinaibiwa alikuwa hajaajiriwa ila alikuwa anafanya kama internship tu,Hivi kwa akili za kawaida wanafunzi wanaofanya internship wanaweza kutoa uwamuzi mzito unaohusu jambo lolote ofisini? sasa huyu Ridhawani aliwezaje kushirikishwa katika mkataba wa deep green? na wakati huo kikwete hakuwa rais.
Je kama watoto wa vigogo wana sifa zote za kuajiriwa ina maana hawana haki ya kufanya kazi hapa Tanzania? Tujiulize haya maswala ya mtoto wa nani ana fanya kazi wapi atasaidiaje maendeleo ya nchi.wachunguzwe kama watanzania wengine kama utendaji wao ni mbovu basi wafukuzwe lakini sioni kama ina maitiki kuifanya major issue,kuna vitu vya maana zaidi na vinavyogusa maslahi ya wengi kuliko hili. Naungana na wote wanaopinga ufisadi kwa asilimia 100 ila na wakumbusha kuwa tuvipeleke sambamba na other development issues,mabadiliko yatatokea,hata kama ni CUF,CHADEMA au TLP ipo madarakani