Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Kwa hali ya vuguvugu iliyopo sasa si jambo la kushangaza kuona napigwa bit na watu asiowafahamu.
Unajua mafisadi walijua wataendelea kusumbua akili za watz milele sasa naona yamewatokea puani wanaanza kuwaya waya.
Ivi hawajui kwa vitisho kama ivyo ndo inawafanya waonekane hopeless zaidi na kuanikwa hazarani?
I call upon the gvt kuprovide uyu ndugu yetu na kaulizi,ivi polisi kazi yao si ni kulinda usalama wa Raia,sasa kama mtu anapigwa bit huoni kuwa anastaili kulindwa.
Pm kama ulimuacknowledge kubenea bungeni wakati umeteuliwa kumridhi Lowasa twaomba umuassist kwa ilo.
Unajua mafisadi walijua wataendelea kusumbua akili za watz milele sasa naona yamewatokea puani wanaanza kuwaya waya.
Ivi hawajui kwa vitisho kama ivyo ndo inawafanya waonekane hopeless zaidi na kuanikwa hazarani?
I call upon the gvt kuprovide uyu ndugu yetu na kaulizi,ivi polisi kazi yao si ni kulinda usalama wa Raia,sasa kama mtu anapigwa bit huoni kuwa anastaili kulindwa.
Pm kama ulimuacknowledge kubenea bungeni wakati umeteuliwa kumridhi Lowasa twaomba umuassist kwa ilo.