Kubenea Na Mwanahalisi Waombe Radhi

Yona F. Maro

R I P
Nov 2, 2006
4,202
218
Wakati Rais akipigia kelele uhuru wa vyombo vya habari na maadili yake yafanye kazi kwa haki na upendo , kuna baadhi ya waandishi na wamiliki wa hivi vyombo vya habari viko mstari wa mbele katika kuhakikisha maadili hayafuatwi na hakuna uhuru wowote ule wanataka waendelee kudangana umma wa watanzania kwa kutumia vyombo hivyo wanavyoandikia au kuvimiliki .

Kwa njia hiyo hakuna atakaye kaa kimya kungoja mpaka hawa waandishi na wamiliki wa vyombo hivi waendelee kuonea wananchi kwa kutumia taaluma au vyombo vyao hivi vyombo hivi na waandishi hawa wakemewe na ikiwezekanwa wafungiwe au kunyanyanywa leseni zao za kazi hizi .

Ni wiki mbili sasa baada ya mimi binafsi kuanza kumtafuta Suedi Kubenea niweze kufanya nae mahojiano pamoja na kutengeneza kipindi maalumu kwa ajili ya mambo mbali mbali anayoandika katika gazeti lake la mwanahalisi .

Nimemtafuta kwa njia ya simu , hiyo simu muda mwingi inaita tu haipokelewi kama ikipokelewa basi utasikia niko busy au katoka nashangaa jamani hivi mwanahabari anakuwaga busy asiweze kupokea simu zingine ? au ndio jeuri na nyodo zenyewe hizi ?

Kwa kuwa nimemtafuta kwa muda mrefu ili aweze kuelezea baadhi ya mambo anayoandika katika magazeti yake na sisi tutengeneze makala kwa ajili ya wasomaji wengine kwa njia ya mtandao na kumkosa .

Naamini moja kwa moja sasa Kubenea pamoja na gazeti lake la mwahalisi na Mseto wamekuwa wanacheza michezo ya kuigiza kwa muda mrefu sasa , umma wa watanzania inabidi iwaangalie kwa macho mengi zaidi kuliko yale yaliyokuwa yanawaangalia hapo mwanzo .

Huwa nashangaa anajiamini nini kuandika vitu vya uzushi katika magazeti yake kisha anashindwa kuja mbele ya jamii husika kuelezea au hata pale anapopigiwa simu hataki kujibu kitu anakata au anasema ana kazi nyingi ?

Kwa maana hiyo tukubali Sued Kubenea wafanyakazi wa mwanahalisi pamoja wengine wote anaoshirikiana nao kwa njia mbali mbali ni waongo na wazushi wanachonganisha watu kwa masilahi yao wao wenyewe .

Taarifa iliyotolewa na kampuni ya IMMA and Advocates inadhibitisha hilo kwa zaidi ya asilimia moja nategemea IMMA and advocates watafikisha suala hili katika vyombo husika ili sheria ichukuwe mkondo wake .

Mwisho kabisa napenda kumwomba Kubenea , gazeti la mwanahalisi , mseto waandishi wa magazeti hayo pamoja na wale wote anaoshirikiana nao katika kueneza chuki na uwongo katika jamii ya watanzania iliyojaa amani na upendo toka uhuru wake waombe radhi ya yale waliyoyafanya na wanayotarajia kufanya katika magazeti yao au vyombo vingine wanavyoshirikiana navyo mara moja watakaposoma ujumbe huu .

La sivyo suala hili lifikishwe mbele ya vyombo vya sheria ili waitwe kuja kudhibitisha madai yao waliyoandika katika magazeti yao pamoja na yale wanayoshirikiana nao ili ummah watanzania wapate kujua ukweli .
 
Wakati Rais akipigia kelele uhuru wa vyombo vya habari na maadili yake yafanye kazi kwa haki na upendo , kuna baadhi ya waandishi na wamiliki wa hivi vyombo vya habari viko mstari wa mbele katika kuhakikisha maadili hayafuatwi na hakuna uhuru wowote ule wanataka waendelee kudangana umma wa watanzania kwa kutumia vyombo hivyo wanavyoandikia au kuvimiliki .


La sivyo suala hili lifikishwe mbele ya vyombo vya sheria ili waitwe kuja kudhibitisha madai yao waliyoandika katika magazeti yao pamoja na yale wanayoshirikiana nao ili ummah watanzania wapate kujua ukweli .


HIVI WEWWE NIKILEHELEHE AU KIHELHELE NI UMMA UPI UO ULIO PUNGUANI UNPINGA KUBENEA,YULE HATA BUNGE TUKUFU LIMEMPONGEZA SEMBUSE WEWE
SISI HATUJASEMA WEWE UNAJIDAI,KWELI MAFISADI HAWAJAFURAISHWA
MAANA FURANI(.....) AMEAMUA KUWATUMA HAYA SEMENI SIMNALIPWA
ILA HILI LAZIMA LIWARUDIE
MLAANIWE WOTE AMBAO HAMTAKII MEMA TANZANIA MFE PAMOJANA WOTE MNAO WAPINGA WATETEZI WA HAKI ZA BINAADAMU (KUBENEA,SIRAHA,MBOWE MWAKYEMBE NK).
 
YAANI WEWE KAMA NI PUMBA BASI ZITAKUWA ZA NGURUWE,YAANI PUMBA ZINGINE HAZIFAHI KAMA WEWE RAIA WANGE KUJUA KUWA UNATAKA KUWAUJUMU WANGE KUFIKISHA MBALI MAANA UMENITIBUA MNO.

UNATAKA HII NCHI IWEJE KAMA WATU WAMESHINDWA NIKAWAIDA MTU UNAJITOA SIO LAZIMA WOTE TUWE KWENYE SIASA.

UTAWALA NI MGUMU SANA JK ANAJITAHIDI LKN MAMBO NI MAGUMU INAHITAJI AKILI ZA ZIADA KUWEZA KUJENGA NCHI.
MAANA HATA RAIS WA MAREKANI KUIFIKISHA HIYO NCHI HAPO WANATUMIA AKILI SIO HIVYO VITU ETI VINAKUJA VYENYEWE HATA MATAIFA YA MAGHARIBI VIVYO HIVYO.

HILI SUALA LA MAENDELEO NIJUKUMU LA MWENYE NCHI,KWANI KINABABA WANGAPI WANAKULA STAREHE HUKU WAKIWA WAMEACHA FAMILIA HOI,HII SIO HAJABU MIMI SIWEZI KUSHANGAA HATA KIDOGO KWA HILI LA NCHINI KWETU.

HUKU HIKITOKEA INSHU UNAONA BUSH ANAVYO UMIZA KICHWA MPAKA MAMBO YANAENDA SIJUI HOME INAKUWAJE MPAKA INAFIKIA HII.

BUNGE LINAMPONGEZA WENGINE WANAMPONDA.SO WHAT AND WHAT???
HUU NI UHUNI.

WEWE UKOME,SISI UMMA WAWATANZANIA TUNAUNGA MKO KUBENEA
NA OLE OLE, LOLOTE LITAKALO TOKEA TUTAJUA NI NYINYI MAANA MMEGUGUMIA ,SASA MNAANZA KUSEMA LKN AANZAE NA ULUZI UISHIA NA KUIMBA.

MTAJIKAANGA NAMAFUTA YENU TUSHA WAJUA ,TUNAUNGA MKONO LOLOTE LITAKALO LETWA NA WAPINZANI NA HATA WAANDISHI WA UMMA SIO WENU.

MAANA KAMA MNAVYO WAZA MNAFIKILI HII HALI TUNAIFURAIA TENA HIZI MADA MNAVYOZIDI KUZILETA NDIO MNATUAMSHA MUUKALI SASA SICHELEI KUSEMA KUWA AANZAE NA ULUZI UISHIA NA KUIMBA NA KUCHEZA SASA SUBILINI.

BORA TUKOSE WOTE KWANZA TULISHA KOSA HIVYO HAKUNA ANAEONA HATARI KUKOSA TENA.

SASA BASI TUANZE KUIMARISHA WATU WA VIJIJINI THEN HUMU MJINI WOTE WANAJUA EPA ,BOT,FISADI. HIVYO HAMNA NOMA NA NIMEWASIL;IANA NA BAADHI YA WATU WA VIJIJINI WANASEMA WANAAMKA KWA KASI KINOMA.
 
Wakati Rais akipigia kelele uhuru wa vyombo vya habari na maadili yake yafanye kazi kwa haki na upendo , kuna baadhi ya waandishi na wamiliki wa hivi vyombo vya habari viko mstari wa mbele katika kuhakikisha maadili hayafuatwi na hakuna uhuru wowote ule wanataka waendelee kudangana umma wa watanzania kwa kutumia vyombo hivyo wanavyoandikia au kuvimiliki .

Kwa njia hiyo hakuna atakaye kaa kimya kungoja mpaka hawa waandishi na wamiliki wa vyombo hivi waendelee kuonea wananchi kwa kutumia taaluma au vyombo vyao hivi vyombo hivi na waandishi hawa wakemewe na ikiwezekanwa wafungiwe au kunyanyanywa leseni zao za kazi hizi .

Ni wiki mbili sasa baada ya mimi binafsi kuanza kumtafuta Suedi Kubenea niweze kufanya nae mahojiano pamoja na kutengeneza kipindi maalumu kwa ajili ya mambo mbali mbali anayoandika katika gazeti lake la mwanahalisi .

Nimemtafuta kwa njia ya simu , hiyo simu muda mwingi inaita tu haipokelewi kama ikipokelewa basi utasikia niko busy au katoka nashangaa jamani hivi mwanahabari anakuwaga busy asiweze kupokea simu zingine ? au ndio jeuri na nyodo zenyewe hizi ?

Kwa kuwa nimemtafuta kwa muda mrefu ili aweze kuelezea baadhi ya mambo anayoandika katika magazeti yake na sisi tutengeneze makala kwa ajili ya wasomaji wengine kwa njia ya mtandao na kumkosa .

Naamini moja kwa moja sasa Kubenea pamoja na gazeti lake la mwahalisi na Mseto wamekuwa wanacheza michezo ya kuigiza kwa muda mrefu sasa , umma wa watanzania inabidi iwaangalie kwa macho mengi zaidi kuliko yale yaliyokuwa yanawaangalia hapo mwanzo .

Huwa nashangaa anajiamini nini kuandika vitu vya uzushi katika magazeti yake kisha anashindwa kuja mbele ya jamii husika kuelezea au hata pale anapopigiwa simu hataki kujibu kitu anakata au anasema ana kazi nyingi ?

Kwa maana hiyo tukubali Sued Kubenea wafanyakazi wa mwanahalisi pamoja wengine wote anaoshirikiana nao kwa njia mbali mbali ni waongo na wazushi wanachonganisha watu kwa masilahi yao wao wenyewe .

Taarifa iliyotolewa na kampuni ya IMMA and Advocates inadhibitisha hilo kwa zaidi ya asilimia moja nategemea IMMA and advocates watafikisha suala hili katika vyombo husika ili sheria ichukuwe mkondo wake .

Mwisho kabisa napenda kumwomba Kubenea , gazeti la mwanahalisi , mseto waandishi wa magazeti hayo pamoja na wale wote anaoshirikiana nao katika kueneza chuki na uwongo katika jamii ya watanzania iliyojaa amani na upendo toka uhuru wake waombe radhi ya yale waliyoyafanya na wanayotarajia kufanya katika magazeti yao au vyombo vingine wanavyoshirikiana navyo mara moja watakaposoma ujumbe huu .

La sivyo suala hili lifikishwe mbele ya vyombo vya sheria ili waitwe kuja kudhibitisha madai yao waliyoandika katika magazeti yao pamoja na yale wanayoshirikiana nao ili ummah watanzania wapate kujua ukweli .

Shy
Mwanzoni mwanzoni nilikuwa napenda kusoma mitundiko yako, lakini hivi karibuni nadhani baada ya kupata bahasha za mheshimiwa umekuwa ukiandika vitu visivyo na substance hata kidogo!! Hizi ni propaganda za kijinga kabisa wacha waende mahakamani hawa IMMMA tujue mengi kule kila kitu kitakuwa hadharani, watanzania wengi tunawaunga mkono mwanahalisi na kubenea wamesaidia sana kuweka mambo yaliyokuwa chini ya carpet...wangapi walisema wataenda mahakamani baada ya Slaa kutoa list ya mafisadi na mwananhalisi kuandika? Do not be cheap mkuu Shy
 
Nimemtafuta kwa njia ya simu , hiyo simu muda mwingi inaita tu haipokelewi kama ikipokelewa basi utasikia niko busy au katoka nashangaa jamani hivi mwanahabari anakuwaga busy asiweze kupokea simu zingine ? au ndio jeuri na nyodo zenyewe hizi ?

Kwa kuwa nimemtafuta kwa muda mrefu ili aweze kuelezea baadhi ya mambo anayoandika katika magazeti yake na sisi tutengeneze makala kwa ajili ya wasomaji wengine kwa njia ya mtandao na kumkosa .

Naamini moja kwa moja sasa Kubenea pamoja na gazeti lake la mwahalisi na Mseto wamekuwa wanacheza michezo ya kuigiza kwa muda mrefu sasa , umma wa watanzania inabidi iwaangalie kwa macho mengi zaidi kuliko yale yaliyokuwa yanawaangalia hapo mwanzo .

Huwa nashangaa anajiamini nini kuandika vitu vya uzushi katika magazeti yake kisha anashindwa kuja mbele ya jamii husika kuelezea au hata pale anapopigiwa simu hataki kujibu kitu anakata au anasema ana kazi nyingi ?


Kwa maana hiyo tukubali Sued Kubenea wafanyakazi wa mwanahalisi pamoja wengine wote anaoshirikiana nao kwa njia mbali mbali ni waongo na wazushi wanachonganisha watu kwa masilahi yao wao wenyewe .

Taarifa iliyotolewa na kampuni ya IMMA and Advocates inadhibitisha hilo kwa zaidi ya asilimia moja nategemea IMMA and advocates watafikisha suala hili katika vyombo husika ili sheria ichukuwe mkondo wake .

Mwisho kabisa napenda kumwomba Kubenea , gazeti la mwanahalisi , mseto waandishi wa magazeti hayo pamoja na wale wote anaoshirikiana nao katika kueneza chuki na uwongo katika jamii ya watanzania iliyojaa amani na upendo toka uhuru wake waombe radhi ya yale waliyoyafanya na wanayotarajia kufanya katika magazeti yao au vyombo vingine wanavyoshirikiana navyo mara moja watakaposoma ujumbe huu .

La sivyo suala hili lifikishwe mbele ya vyombo vya sheria ili waitwe kuja kudhibitisha madai yao waliyoandika katika magazeti yao pamoja na yale wanayoshirikiana nao ili ummah watanzania wapate kujua ukweli .

Shy, naona uko sambamba na kina kubenea.
Maandishi yako hapo juu yanaonekana kama uko kwenye payroll tayari.
Sasa tatizo la kubenea ni kuwa hapatikani unapomtafuta ndio kilichokufanya ukonclude kuwa anaandika uzushi?

Ile issue ya IMMA naona asilimia ni ndogo sana ukiround inakuja zero, hapo ni aje?
Hiyo njia unayopita naona kama umekosea, angalia usije ukakumbana na upupu huko au ni matangazo madogomadogo?

Usisahau ule usemi wa kiswahili
Kizuri cha jiuza, kibaya chajitembeza.
 
Shy, naona uko sambamba na kina kubenea.
Maandishi yako hapo juu yanaonekana kama uko kwenye payroll tayari.
Sasa tatizo la kubenea ni kuwa hapatikani unapomtafuta ndio kilichokufanya ukonclude kuwa anaandika uzushi?

Ile issue ya IMMA naona asilimia ni ndogo sana ukiround inakuja zero, hapo ni aje?
Hiyo njia unayopita naona kama umekosea, angalia usije ukakumbana na upupu huko au ni matangazo madogomadogo?

Usisahau ule usemi wa kiswahili
Kizuri cha jiuza, kibaya chajitembeza.


Bila shaka Shy ndiye anayetuma meseji za vitisho,(Sali sala za mwisho) baada ya kugundua simu zake hazipokelewi...
 
Yero
Juzi juzi nilikuona kwenye Mjengwa Forum ukimtetea Mh. Lowassa (aka Kisali)na kumponda Kubenea. Leo hii umekuja na mengine. hakuna kinachoelezwa na Mwanahalisi ambacho hakina ukweli. Kama kuna vitu vinavyosemwa vya uongo basi watu wanaosemwa wana kila haki ya kwenda Mahakamani na kulishitaki hilo gazeti na kudai fidia. So far they (you haven't done that kwa sababu wewe pia una act kama msemaji wao).
 
Shy!
NAONA SIKU HIZI UNACHANGANYIKIWA, KWANI UMEANDIKA PUMBA SANA HAPA. AOMBE MSAMAHA KWA LIPI? KUTOPOKEA SIKU YAKO?? LAKINI SIKULAUMU SANA KWANI UNAPENDA MAMBO MAKUBWA KUZIDI UMRI WAKO. AU UMEPEWE KITU KIDOGO NA HAO WAKUBWA MAANA NA WEWE NI WA KULE KULE KWA WANAOPENDA HELA.
 
Heshima mbele wakuu,

NB: Huwezi kumsafisha mtu a.k.fisadi kwa kumchafua mtu mwingine

kwa sababu ya ufisadilism.kumbuka uchafu na usafi ni vitu viwili

tofauti.
 
Shy kwa pumba bwana.Jamaa hajawahi kuandika la maana hata moja.(ukiacha zile anazo copy na ku paste kutoka mitandao mengine)Shy Umaarufu hauji bure kaka/dada.
 
Yaani kweli wewe umeshikishwa! Unawezaje kuandika mambo haya yasiyo kuwa na hoja? Inasemekana kunawatu wameshikishwa kusafisha WATU nadhani nawe ni mmojawao! Zungumza kwa hoja bwana!
 
Shy,
kwanza kabla hatujakutia kitanzi, tueleze unataka kumuhoji nini ili ukiweke mtandaoni. Manake usijekuwa unataka kupitia katika mgongo wa Kubenea kuwasafisha MAFISADI na kujineemesha mwenyewe. Kama ni kumtafuta, nadhani kwa Gazeti lake anatafutwa na watu kibao, si rahisi kukutana na kila mtu. Yani wezi wetu na mambo yao kibao umeshindwa kuwatafuta uwahoji, unamtafuta anayetufungua macho, SHAME!
 
Shy kwa pumba bwana.Jamaa hajawahi kuandika la maana hata moja.(ukiacha zile anazo copy na ku paste kutoka mitandao mengine)Shy Umaarufu hauji bure kaka/dada.


Una uhakika kwamba Shy yeye ni wa copy paste na kuandika pumba tu!??
 
Kama anacho andika kubenea ni tatizo kwa taifa nadhani asingeweza kuwepo mpaka sasa,anachofanya kubenea ni kusema ukweli alioupata toka kwa wahusika na ndio maana huwa anataja na majina kwa mifano hi,nadhani bwana shy upo hapo si kulitetea taifa hili ila ni kwa maslahi binafsi ufike wakati tuwache waandishi watuhabarishe ili tuweze kujua wapi tulipo na wapi tunakwenda

Huu sio wakati wa kumwagiana tindikali eti kwa kuwa nimesema ukweli juu ya maovu yako,kama inakugusa acha,na mtambue kuwa tumechoka ipo siku tutafanya maamuzi mazito,na mwogope mwanachi akichoka hata uje na jeshi la moto hutomzuia kuwa makini bwn shy tunakustahi tu ilinawe ufaidi matunda ya umaskini tulionao :crying:[
 
shy, mawazo yako hayana tofauti na ya akina makamba na mafisadi wengine.
 
Kwani issue ni nini hasa? Ni habari gani unaizungumzia? Usiwe kama wale wa Maelezo wanaokurupuka na kutishia kufungia magazeti bila kuwa na hoja yoyote. Halafu hiyo kampuni ya IMMA Advocates inaingiaje hapa?
 
Kwa maana hiyo tukubali Sued Kubenea wafanyakazi wa mwanahalisi pamoja wengine wote anaoshirikiana nao kwa njia mbali mbali ni waongo na wazushi wanachonganisha watu kwa masilahi yao wao wenyewe .

Taarifa iliyotolewa na kampuni ya IMMA and Advocates inadhibitisha hilo kwa zaidi ya asilimia moja nategemea IMMA and advocates watafikisha suala hili katika vyombo husika ili sheria ichukuwe mkondo wake .

Bwana Shy, sijui ni 'shy' ya aibu au ni 'Shy' kwa maana ya ufupisho wa Shinyanga.

Thread yako imeni-bore stiff. Kama ni pumba basi hizi ni pumba++++na kokoto na mchanga na kila takataka.
Kwanza unaonyesha huna uhakika na hicho unachokiandika,pili hata hilo jina la Mhariri wa Mwanahalisi hulijui sawasawa. Badala ya Said Kubenea umesema ni Sued Kubenea.

Mimi ni msomaji nambari wahedi wa gazeti la Mwanahalisi. Kama kuna magazeti yanayoandika UKWELI na UWAZI, talk about TRUTH and TRANSPARENCY Mwanahalisi ni kinara likifuatiwa na Tanzania Daima,Mwananchi,Kulikoni, The Citizen na mengineyo.

Nimekusghangaa sana unaposema eti lifungiwe au wewe ndiye Mkuchika nini au Mshana wa Maelezo??
Kama huna cha kutueleza afadhali ukae kimyaa.

Pili hawa IMMA tunawafahamu. Ni Kampuni ya Uwakili inayomilikuiwa na LAURENCE MASHA(X-Waziri mambo ya Ndani) na swahiba wake RIDHIWANI KIKWETE. We know them na hao hao wakitumiwa na mafisadi walifanya njama za kumwagia tindi kali Said Kubenea na Timara.

Labda waroge sana na watafute hayo majini ya Sheikh Yahya vinginevyo waelewe kabisa kama CHADEMA itachukua nchi wajiandae kuhama nchi maana sijui wataficha wapi nyuso zao kwa upumbaf wanaoufanya kujaribu kunyamazisha sauti za UMMA wa Watanzania.
 
Hii inanikumbusha faux nuwz, yaani Angelina Jollie na mastaa wengine walipogoma kuitikia mwito wa kipindi cha O'reilly factor kuhusu Haiti wakawa branded wanafiki, hawawajali Haitian n.k. Wakati infact mastaa hao wameshaenda Haiti zaidi ya mara moja na wamechangia mamilioni.

Sasa Shy nachokiona kutoka kwako ni kutafuta umaarufu kwa mgongo wa Kubenea, mwenzio ahangaike kutafuta habari halafu eti wewe ukateam-up naye kuandaa makala kwa lazima. Akikataa mwongo, mzushi.

Wabnaotuhumiwa mbona hawajamshtaki? Man-up bro, hizo propaganda za kitoto hazitakufikisha kokote.
 
wakati rais akipigia kelele uhuru wa vyombo vya habari na maadili yake yafanye kazi kwa haki na upendo , kuna baadhi ya waandishi na wamiliki wa hivi vyombo vya habari viko mstari wa mbele katika kuhakikisha maadili hayafuatwi na hakuna uhuru wowote ule wanataka waendelee kudangana umma wa watanzania kwa kutumia vyombo hivyo wanavyoandikia au kuvimiliki .

Kwa njia hiyo hakuna atakaye kaa kimya kungoja mpaka hawa waandishi na wamiliki wa vyombo hivi waendelee kuonea wananchi kwa kutumia taaluma au vyombo vyao hivi vyombo hivi na waandishi hawa wakemewe na ikiwezekanwa wafungiwe au kunyanyanywa leseni zao za kazi hizi .

Ni wiki mbili sasa baada ya mimi binafsi kuanza kumtafuta suedi kubenea niweze kufanya nae mahojiano pamoja na kutengeneza kipindi maalumu kwa ajili ya mambo mbali mbali anayoandika katika gazeti lake la mwanahalisi .

Nimemtafuta kwa njia ya simu , hiyo simu muda mwingi inaita tu haipokelewi kama ikipokelewa basi utasikia niko busy au katoka nashangaa jamani hivi mwanahabari anakuwaga busy asiweze kupokea simu zingine ? Au ndio jeuri na nyodo zenyewe hizi ?

Kwa kuwa nimemtafuta kwa muda mrefu ili aweze kuelezea baadhi ya mambo anayoandika katika magazeti yake na sisi tutengeneze makala kwa ajili ya wasomaji wengine kwa njia ya mtandao na kumkosa .

Naamini moja kwa moja sasa kubenea pamoja na gazeti lake la mwahalisi na mseto wamekuwa wanacheza michezo ya kuigiza kwa muda mrefu sasa , umma wa watanzania inabidi iwaangalie kwa macho mengi zaidi kuliko yale yaliyokuwa yanawaangalia hapo mwanzo .

Huwa nashangaa anajiamini nini kuandika vitu vya uzushi katika magazeti yake kisha anashindwa kuja mbele ya jamii husika kuelezea au hata pale anapopigiwa simu hataki kujibu kitu anakata au anasema ana kazi nyingi ?

Kwa maana hiyo tukubali sued kubenea wafanyakazi wa mwanahalisi pamoja wengine wote anaoshirikiana nao kwa njia mbali mbali ni waongo na wazushi wanachonganisha watu kwa masilahi yao wao wenyewe .

Taarifa iliyotolewa na kampuni ya imma and advocates inadhibitisha hilo kwa zaidi ya asilimia moja nategemea imma and advocates watafikisha suala hili katika vyombo husika ili sheria ichukuwe mkondo wake .

Mwisho kabisa napenda kumwomba kubenea , gazeti la mwanahalisi , mseto waandishi wa magazeti hayo pamoja na wale wote anaoshirikiana nao katika kueneza chuki na uwongo katika jamii ya watanzania iliyojaa amani na upendo toka uhuru wake waombe radhi ya yale waliyoyafanya na wanayotarajia kufanya katika magazeti yao au vyombo vingine wanavyoshirikiana navyo mara moja watakaposoma ujumbe huu .

La sivyo suala hili lifikishwe mbele ya vyombo vya sheria ili waitwe kuja kudhibitisha madai yao waliyoandika katika magazeti yao pamoja na yale wanayoshirikiana nao ili ummah watanzania wapate kujua ukweli .

hivi wewe shy ulishaacha ushoga? Yaani i think we ni punguani mazima!!
 
Back
Top Bottom