Yona F. Maro
R I P
- Nov 2, 2006
- 4,202
- 211
Wakati Rais akipigia kelele uhuru wa vyombo vya habari na maadili yake yafanye kazi kwa haki na upendo , kuna baadhi ya waandishi na wamiliki wa hivi vyombo vya habari viko mstari wa mbele katika kuhakikisha maadili hayafuatwi na hakuna uhuru wowote ule wanataka waendelee kudangana umma wa watanzania kwa kutumia vyombo hivyo wanavyoandikia au kuvimiliki .
Kwa njia hiyo hakuna atakaye kaa kimya kungoja mpaka hawa waandishi na wamiliki wa vyombo hivi waendelee kuonea wananchi kwa kutumia taaluma au vyombo vyao hivi vyombo hivi na waandishi hawa wakemewe na ikiwezekanwa wafungiwe au kunyanyanywa leseni zao za kazi hizi .
Ni wiki mbili sasa baada ya mimi binafsi kuanza kumtafuta Suedi Kubenea niweze kufanya nae mahojiano pamoja na kutengeneza kipindi maalumu kwa ajili ya mambo mbali mbali anayoandika katika gazeti lake la mwanahalisi .
Nimemtafuta kwa njia ya simu , hiyo simu muda mwingi inaita tu haipokelewi kama ikipokelewa basi utasikia niko busy au katoka nashangaa jamani hivi mwanahabari anakuwaga busy asiweze kupokea simu zingine ? au ndio jeuri na nyodo zenyewe hizi ?
Kwa kuwa nimemtafuta kwa muda mrefu ili aweze kuelezea baadhi ya mambo anayoandika katika magazeti yake na sisi tutengeneze makala kwa ajili ya wasomaji wengine kwa njia ya mtandao na kumkosa .
Naamini moja kwa moja sasa Kubenea pamoja na gazeti lake la mwahalisi na Mseto wamekuwa wanacheza michezo ya kuigiza kwa muda mrefu sasa , umma wa watanzania inabidi iwaangalie kwa macho mengi zaidi kuliko yale yaliyokuwa yanawaangalia hapo mwanzo .
Huwa nashangaa anajiamini nini kuandika vitu vya uzushi katika magazeti yake kisha anashindwa kuja mbele ya jamii husika kuelezea au hata pale anapopigiwa simu hataki kujibu kitu anakata au anasema ana kazi nyingi ?
Kwa maana hiyo tukubali Sued Kubenea wafanyakazi wa mwanahalisi pamoja wengine wote anaoshirikiana nao kwa njia mbali mbali ni waongo na wazushi wanachonganisha watu kwa masilahi yao wao wenyewe .
Taarifa iliyotolewa na kampuni ya IMMA and Advocates inadhibitisha hilo kwa zaidi ya asilimia moja nategemea IMMA and advocates watafikisha suala hili katika vyombo husika ili sheria ichukuwe mkondo wake .
Mwisho kabisa napenda kumwomba Kubenea , gazeti la mwanahalisi , mseto waandishi wa magazeti hayo pamoja na wale wote anaoshirikiana nao katika kueneza chuki na uwongo katika jamii ya watanzania iliyojaa amani na upendo toka uhuru wake waombe radhi ya yale waliyoyafanya na wanayotarajia kufanya katika magazeti yao au vyombo vingine wanavyoshirikiana navyo mara moja watakaposoma ujumbe huu .
La sivyo suala hili lifikishwe mbele ya vyombo vya sheria ili waitwe kuja kudhibitisha madai yao waliyoandika katika magazeti yao pamoja na yale wanayoshirikiana nao ili ummah watanzania wapate kujua ukweli .
Kwa njia hiyo hakuna atakaye kaa kimya kungoja mpaka hawa waandishi na wamiliki wa vyombo hivi waendelee kuonea wananchi kwa kutumia taaluma au vyombo vyao hivi vyombo hivi na waandishi hawa wakemewe na ikiwezekanwa wafungiwe au kunyanyanywa leseni zao za kazi hizi .
Ni wiki mbili sasa baada ya mimi binafsi kuanza kumtafuta Suedi Kubenea niweze kufanya nae mahojiano pamoja na kutengeneza kipindi maalumu kwa ajili ya mambo mbali mbali anayoandika katika gazeti lake la mwanahalisi .
Nimemtafuta kwa njia ya simu , hiyo simu muda mwingi inaita tu haipokelewi kama ikipokelewa basi utasikia niko busy au katoka nashangaa jamani hivi mwanahabari anakuwaga busy asiweze kupokea simu zingine ? au ndio jeuri na nyodo zenyewe hizi ?
Kwa kuwa nimemtafuta kwa muda mrefu ili aweze kuelezea baadhi ya mambo anayoandika katika magazeti yake na sisi tutengeneze makala kwa ajili ya wasomaji wengine kwa njia ya mtandao na kumkosa .
Naamini moja kwa moja sasa Kubenea pamoja na gazeti lake la mwahalisi na Mseto wamekuwa wanacheza michezo ya kuigiza kwa muda mrefu sasa , umma wa watanzania inabidi iwaangalie kwa macho mengi zaidi kuliko yale yaliyokuwa yanawaangalia hapo mwanzo .
Huwa nashangaa anajiamini nini kuandika vitu vya uzushi katika magazeti yake kisha anashindwa kuja mbele ya jamii husika kuelezea au hata pale anapopigiwa simu hataki kujibu kitu anakata au anasema ana kazi nyingi ?
Kwa maana hiyo tukubali Sued Kubenea wafanyakazi wa mwanahalisi pamoja wengine wote anaoshirikiana nao kwa njia mbali mbali ni waongo na wazushi wanachonganisha watu kwa masilahi yao wao wenyewe .
Taarifa iliyotolewa na kampuni ya IMMA and Advocates inadhibitisha hilo kwa zaidi ya asilimia moja nategemea IMMA and advocates watafikisha suala hili katika vyombo husika ili sheria ichukuwe mkondo wake .
Mwisho kabisa napenda kumwomba Kubenea , gazeti la mwanahalisi , mseto waandishi wa magazeti hayo pamoja na wale wote anaoshirikiana nao katika kueneza chuki na uwongo katika jamii ya watanzania iliyojaa amani na upendo toka uhuru wake waombe radhi ya yale waliyoyafanya na wanayotarajia kufanya katika magazeti yao au vyombo vingine wanavyoshirikiana navyo mara moja watakaposoma ujumbe huu .
La sivyo suala hili lifikishwe mbele ya vyombo vya sheria ili waitwe kuja kudhibitisha madai yao waliyoandika katika magazeti yao pamoja na yale wanayoshirikiana nao ili ummah watanzania wapate kujua ukweli .