Lakini wewe kada umeelewa contents za mashitaka hayo?Aibu kubwa sana kwa wanafiki na wasaliti Chadema wameanzisha kijigazeti uchwara kinaitwa raia mwema ambako kila siku kichwa cha habari ni Makonda na Sabaya.
Acheni hizo biashara ya madawa ya kulevya itawalaani vizazi vyenu hapo ufipa.
Aibu kubwa sana kwa wanafiki na wasaliti Chadema wameanzisha kijigazeti uchwara kinaitwa raia mwema ambako kila siku kichwa cha habari ni Makonda na Sabaya.
Acheni hizo biashara ya madawa ya kulevya itawalaani vizazi vyenu hapo ufipa.
Ila mkuu, hivi sie wasukuma tutakikamata kile kiti tena kweli?Laana utawatafuna kubenea na watu waliomtuma kulipiza kusasi kupitia mgongo wake, ikumbukwe kwamba hao wanaomtuma na wao hawatokaa madarakani siku zote na hao wahuni wanajulikana;kama tanzania tumefikia hatua hiyo kila kiongozi akipata nafasi ya juu atakuwa analipiza visasi kupitia migongo ya watu kama kubenea marope na nape achen tabia hiyo hii nchi siyo ya kwenu mtakuja kujuta maishani mwenu hayo mnayoyafanya yanajulikana na wengi wabayajuwa mimi nimewaletea ujumbe
Tuambie je, Kila panapo fuka Moshi panavutwa yale majani?Aibu kubwa sana kwa wanafiki na wasaliti Chadema wameanzisha kijigazeti uchwara kinaitwa raia mwema ambako kila siku kichwa cha habari ni Makonda na Sabaya.
Acheni hizo biashara ya madawa ya kulevya itawalaani vizazi vyenu hapo ufipa.
Yaah!Uko interested kujua?
KwaniniYaah!
Kukata kiu ya ubutu wa ubongo wanguKwanini
OK OK sawaKukata kiu ya ubutu wa ubongo wangu
Wacha woga, lazima ganzi zipate meno ya waliokula zabibu mbichiLaana utawatafuna kubenea na watu waliomtuma kulipiza kusasi kupitia mgongo wake, ikumbukwe kwamba hao wanaomtuma na wao hawatokaa madarakani siku zote na hao wahuni wanajulikana;kama tanzania tumefikia hatua hiyo kila kiongozi akipata nafasi ya juu atakuwa analipiza visasi kupitia migongo ya watu kama kubenea marope na nape achen tabia hiyo hii nchi siyo ya kwenu mtakuja kujuta maishani mwenu hayo mnayoyafanya yanajulikana na wengi wabayajuwa mimi nimewaletea ujumbe
Pole sana, hawa watu hawana huruma na wajane na yatima!Laana utawatafuna kubenea na watu waliomtuma kulipiza kusasi kupitia mgongo wake, ikumbukwe kwamba hao wanaomtuma na wao hawatokaa madarakani siku zote na hao wahuni wanajulikana;kama tanzania tumefikia hatua hiyo kila kiongozi akipata nafasi ya juu atakuwa analipiza visasi kupitia migongo ya watu kama kubenea marope na nape achen tabia hiyo hii nchi siyo ya kwenu mtakuja kujuta maishani mwenu hayo mnayoyafanya yanajulikana na wengi wabayajuwa mimi nimewaletea ujumbe
Kwa kweli, itachukua mda sana, chungeni tu ng’ombe Kwa Sasa!Ila mkuu, hivi sie wasukuma tutakikamata kile kiti tena kweli?
Umesoma andiko ?Aibu kubwa sana kwa wanafiki na wasaliti Chadema wameanzisha kijigazeti uchwara kinaitwa raia mwema ambako kila siku kichwa cha habari ni Makonda na Sabaya.
Acheni hizo biashara ya madawa ya kulevya itawalaani vizazi vyenu hapo ufipa.
Kwenye kasoro za.majina I.was right, Kuna pahala nilisema humu.Mahakama ya Hakimu mkazi Kinondoni imeridhia ombi la mawakili wa Mwandishi wa Habari, Said Kubenea la kuondoa maombi ya kuwashtaki Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) pamoja na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaama, Paul Makonda.
Hatua hiyo imejiri leo Ijumaa, Desemba 3, 2021 mahakamani hapo mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo, Aron Lyamua ambapo upande wa mleta maombi, Said Kubenea mawakili wake, Hekema Mwasipo umedai kuwa wamefikia hatua hiyo kutokana na kasoro mbalimbali zilizojitokeza katika maombi ya kufungua kesi hiyo na kwamba wanakusudia kuongeza mashtaka ambayo awali hayakuwepo kwenye maombi hayo.
Miongoni mwa kasoro zilizojitokeza ni uandishi wa majina ya mpelekewa maombi na ya aliyeapa ambayo yapo tofauati jambo ambalo wanahofia kuwa yanatakiwa kufafana. Wamedai kuwa wanakusudia kuwashtaki wa watu hao kutokana na madai ya kushindwa kutimiza vyema wajibu wao.
Baada ya maombi hayo wakili wa serikali, Daisy Makakala amekubaliana na ombi la mawakili wa Kubenea bila pingamizi. Hata Hivyo Mawakili wa Kubenea tayari wamewasilisha maombi mengine ambayo yamefanyiwa marekebisho ambayo awali kulikuwa na mapungufu.
Kinachosubiriwa sasa ni mahakama kupanga tarehe ya kusikiliza kesi hiyo pamoja na kuweka wazi namba ya kesi na aina ya mashtaka yanayowakabili.
Unajuaje Kama kashindwa?! Ukute tayari,Kubenea alitaka kumblack mail Makonda, naona kashindwa