Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,647
Wana JF.
Kuna rafiki yangu ana mtoto mchanga, amekuja nimpatie ushauri na maelezo juu ya swala zima la kubemenda (Sina hakika kama ni neno rasmi).
Hasa ningependa kujua 'mechanism' na njia zinazosababisha jambo hili.
Je, kutoka nje ya ndoa ndio sababu ya jambo hili?
Wengine wanasema ukitoka kufanya mapenzi na mpenzi mwingine kisha ukaja ukambeba mtoto wako (anae nyoya) basi tayari unamsababishia tatizo hili.
Naomba msaada wenu wana JF
ili nipate cha kumweleza swahiba wangu.
Kuna rafiki yangu ana mtoto mchanga, amekuja nimpatie ushauri na maelezo juu ya swala zima la kubemenda (Sina hakika kama ni neno rasmi).
Hasa ningependa kujua 'mechanism' na njia zinazosababisha jambo hili.
Je, kutoka nje ya ndoa ndio sababu ya jambo hili?
Wengine wanasema ukitoka kufanya mapenzi na mpenzi mwingine kisha ukaja ukambeba mtoto wako (anae nyoya) basi tayari unamsababishia tatizo hili.
Naomba msaada wenu wana JF
ili nipate cha kumweleza swahiba wangu.