Naomba msaada, kila ninapopanda katika basi au kukaa pamoja na watu zaidi ya watatu nahisi kubanwa
na haja kubwa(stool).
Nikienda chooni kakitoki kitu na nikiwa katika usafiri baada ya kushuka hali hiyo huwa inapotea. Nimekwenda hospitali hali hii hawaifahamu wananipa dawa za kuharisha tu.
Naomba msaada wenu.
na haja kubwa(stool).
Nikienda chooni kakitoki kitu na nikiwa katika usafiri baada ya kushuka hali hiyo huwa inapotea. Nimekwenda hospitali hali hii hawaifahamu wananipa dawa za kuharisha tu.
Naomba msaada wenu.