Kubali kukosolewa

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
May 9, 2007
3,832
2,790
WAkati ule ulikuwa ni wakati wa "UKWELI na UWAZI" Kauli yako hii ndiyo Azimio lako utabaki nalo milele na kamwe itakuwa hivyo kama Mwl Nyerere alivyotetea Azimio la Arusha hadi sasa. Sisi wananchi tupo pamoja nawe katika mchakato wa kuzungumza kwa UWAZI na UKWELI. Tuache tuseme. Yapo mengi mazuri uliyoyafanya lakini pia yapo mengi mabaya ambayo pia uliyafanya wewe mwenyewe ama watendaji wako ukayapa baraka na sasa yamekuwa kama uonavyo. Kuwa muungwana ni jambo la msingi kwako lakini tunajaribu kujiuliza kwanini unajitetea kwa kitu ambacho kiko wazi? Nikimkumbuka siku Ballali alipozungumza na waandishi wa habari na kukanusha kwamba BoT ni shwari na nikijua kwamba yeye si mwanasiasa na nyie ndiyo wanasiasa nakamilisha mawazo yangu kwamba yapo mengi sana ninyi wanasiasa hamjatutendea haki sisi wananchi. BoT mnahusika sana mengi mtasema lakini sisi wananchi hatukubali kamwe. Mliiba fedha BoT na ili kufidia pengo hilo mkaongeza kodi kwa makampuni kwa manufaa yenu, tunawalaani sana. Hata hivyo "Sauti ya watu ni sauti ya Mungu" Mungu ametusikia na ataendelea kutusikiliza vilio vyetu.
 
Bubu, ebu punguza munkari na hasira. Sijaelewa ujumbe huu unamlenga nani hasa. Nimehisi tu kama unamsema mzee Mkapa? Nipo sahihi>
 
Bubu, ebu punguza munkari na hasira. Sijaelewa ujumbe huu unamlenga nani hasa. Nimehisi tu kama unamsema mzee Mkapa? Nipo sahihi>
Uko sahihi kabisa, Mzee Mkapa kaambiwa koti lake lina mende yeye anasema ni safi. Uwazi na Ukweli aliotuhubiria mbona anaukana??? OK napunguza jazba kiasi lakini HABARI NDIYO HIYOOOOO
 
WAkati ule ulikuwa ni wakati wa "UKWELI na UWAZI" Kauli yako hii ndiyo Azimio lako utabaki nalo milele na kamwe itakuwa hivyo kama Mwl Nyerere alivyotetea Azimio la Arusha hadi sasa. Sisi wananchi tupo pamoja nawe katika mchakato wa kuzungumza kwa UWAZI na UKWELI. Tuache tuseme. Yapo mengi mazuri uliyoyafanya lakini pia yapo mengi mabaya ambayo pia uliyafanya wewe mwenyewe ama watendaji wako ukayapa baraka na sasa yamekuwa kama uonavyo. Kuwa muungwana ni jambo la msingi kwako lakini tunajaribu kujiuliza kwanini unajitetea kwa kitu ambacho kiko wazi? Nikimkumbuka siku Ballali alipozungumza na waandishi wa habari na kukanusha kwamba BoT ni shwari na nikijua kwamba yeye si mwanasiasa na nyie ndiyo wanasiasa nakamilisha mawazo yangu kwamba yapo mengi sana ninyi wanasiasa hamjatutendea haki sisi wananchi. BoT mnahusika sana mengi mtasema lakini sisi wananchi hatukubali kamwe. Mliiba fedha BoT na ili kufidia pengo hilo mkaongeza kodi kwa makampuni kwa manufaa yenu, tunawalaani sana. Hata hivyo "Sauti ya watu ni sauti ya Mungu" Mungu ametusikia na ataendelea kutusikiliza vilio vyetu.

Bubu naona ulimi umekuwa mwepesi, sasa unaongea na si kwamba watakakusema. Ukweli unauma lakini waambie uliowakusudia kwamba HABARI NDIYO HIYOOOO.
 
Mkuu Bubu,

Heshima mbele bro, huhitaji kupunguza anything, kwa sababu wizi wa hao wakuu umeleta madhara mengi sana kwa taifa, wananchi wengi wamekufa na hasa watoto wadogo, sasa wewe ulichopfanya hapa ni kwamba umesema sawa sawa isipokuwa tu, ni kwamba huu sio wakati wa kukosoana na wezi wa taifa letu, huu ni wakati wa kwenda mahakamani tu!

Heshima mbele kwa maneno yako mazito mkuu Bubu, kwenye hili la ufisadi hakuna suluhu ama zao ama zetu!
 
Hivi kwa nini Viongozi wote wa Afrika mara watokapo madarakani kasi ya kutoka kuwa Kiongozi wa Nchi mpaka Uhujumu ni kubwa sana!?
 
Kuwa Rais wa TZ huhitaji kuwa na elimu sana maana huna pahali pa kuitumia kwa maendeleo ya Taifa.Hata ukiwa Muuza kahawa au mfungua geti la magogoni au mhudumu wa kupika chakula cha wanikulu wewe twende tu maana elimu huwa haizingatiwi sana inapofika katika masuala ya maslahi ya Taifa na yanayowagusa wananchi moja kwa moja.
Ukiwa dikteta ndo utafaulu kuwaburuza wale wote uwaongozao,ili wakome wenye wivu wa kijinga na wenye uvivu wa kufikiri"
Akiwa ametulia kabisa na akili zake na wasaidizi wake wa siasa za kivukoni pamoja mzee wa vijisenti wakawageuza wa TZ kuwa watumwa hebu soma hii hapa ilibadilishwa na watu walio na mashahada ya sheria pamoja na mzee wa Kiwira
"41,(6) Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa
amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi
kuliko mgombea mwingine yeyote.

41,(6) Any candidate contesting for the office of President
shall be declared duly elected President only if he has obtained
more than half of all the valid votes cast or, where a second ballot
is held for the reason that no candidate obtained more than half
of all the valid votes, if he obtains either more than half of all
valid votes cast or more votes than any of the other candidates.
 
Kwani ipo siku hawa watafikishwa mahakamani? nani wa kuwafikisha huko? tulindane............. tuwanyonye!!, vitoto vyao vife na kwashakoo......, tutakoma.
 
Kuwa Rais wa TZ huhitaji kuwa na elimu sana maana huna pahali pa kuitumia kwa maendeleo ya Taifa.Hata ukiwa Muuza kahawa au mfungua geti la magogoni au mhudumu wa kupika chakula cha wanikulu wewe twende tu maana elimu huwa haizingatiwi sana inapofika katika masuala ya maslahi ya Taifa na yanayowagusa wananchi moja kwa moja.
Ukiwa dikteta ndo utafaulu kuwaburuza wale wote uwaongozao,ili wakome wenye wivu wa kijinga na wenye uvivu wa kufikiri"
Akiwa ametulia kabisa na akili zake na wasaidizi wake wa siasa za kivukoni pamoja mzee wa vijisenti wakawageuza wa TZ kuwa watumwa hebu soma hii hapa ilibadilishwa na watu walio na mashahada ya sheria pamoja na mzee wa Kiwira
"41,(6) Mgombea yeyote wa kiti cha Rais atatangazwa kuwa
amechaguliwa kuwa Rais iwapo tu amepata kura nyingi zaidi
kuliko mgombea mwingine yeyote.

41,(6) Any candidate contesting for the office of President
shall be declared duly elected President only if he has obtained
more than half of all the valid votes cast or, where a second ballot
is held for the reason that no candidate obtained more than half
of all the valid votes, if he obtains either more than half of all
valid votes cast or more votes than any of the other candidates.


Usiogope kuhusu hilo maana hadi sasa official katiba ni ile ya kiswahili. Haya ya kiingereza ni blabla tu hadi pale watakapoipitisha rasmi.
 
[/B]

Usiogope kuhusu hilo maana hadi sasa official katiba ni ile ya kiswahili. Haya ya kiingereza ni blabla tu hadi pale watakapoipitisha rasmi.

Sina haja ya kuogopa ila najaribu kuonyesha yule Mzee na wasaidizi wake ambao tuliwapa dhamana ya kutuongoza yeye akatugeuza kuwa watumwa wake.
 
Back
Top Bottom