Kubadirisha jina la kiwanja

Saad30

JF-Expert Member
May 26, 2020
1,815
3,635
Habari zenu wakuu..!

Mimi nimenunua kiwanja lakini hicho kiwanja kina mambo ya mirathi..Lakini kila kitu tumeweka sawa mahakani.

Tatizo kubwa lipo kwenye kubadirisha jina kutoka kwa muuzaji kuja kwangu.Kiwanja nimenunua kwa Sh 4500000.

Afsa Ardhi ananiambia gharama za kubadilisha majina ni Sh 1540000.Kwa kuwa kuna karatasi 15 zinatakiwa ziwepo na kila karatasi ni Sh 80000 pamoja na gharama ya kubadilisha ndo inafika hiyo Sh 1540000.

Wakuu mwenye uelewa kuhusu hili jambo anisaidie kimawazo tu inatosha maana bado sijalipia hizo gharama.
 
I see. Utaratibu uko vipi.
1. Naamini una sale agreement aliyoandaliwa na wakili. Kama huna tafuta wakili akuandalie.
2. Wakili atakuandalia pia land form namba 29,30 na 35.
3. Tafuta Valuer akuandalie valuation report na aiaprove kwa Mthamini mkuu wa Serikali.

4. chukua nyaraka zako nenda halamashauri na utalipia 80,000 kama application fee.

5. Utakwenda na nyaraka zako (sale agreement na approved valuation report TRA ambayo watakufanyia hesabu na utapaswa kulipia capital gain 10%.

6. Utatakiwa kulipia concent ambayo ni 1% ya either thamani ya kiwanja kwa mujibu wa valuation report au sale agreement (whichever is higher).

7. Baada ya nyaraka zote kukamilika, Manispaa watawailisha ombi lako Wizara ya Ardhi napo utalipia registration fee which is 1% ya either sale or valuation report (whichever is higher).
Nyaraka hati yako itakuwa imesharudi kwa jina lako.
 
I see. Utaratibu uko vipi.
1. Naamini una sale agreement aliyoandaliwa na wakili. Kama huna tafuta wakili akuandalie.
2. Wakili atakuandalia pia land form namba 29,30 na 35.
3. Tafuta Valuer akuandalie valuation report na aiaprove kwa Mthamini mkuu wa Serikali.

4. chukua nyaraka zako nenda halamashauri na utalipia 80,000 kama application fee.

5. Utakwenda na nyaraka zako (sale agreement na approved valuation report TRA ambayo watakufanyia hesabu na utapaswa kulipia capital gain 10%.

6. Utatakiwa kulipia concent ambayo ni 1% ya either thamani ya kiwanja kwa mujibu wa valuation report au sale agreement (whichever is higher).

7. Baada ya nyaraka zote kukamilika, Manispaa watawailisha ombi lako Wizara ya Ardhi napo utalipia registration fee which is 1% ya either sale or valuation report (whichever is higher).
Nyaraka hati yako itakuwa imesharudi kwa jina lako.
Asante boss, nimenufaika na mimi kwenye hayo maelezo.
 
I see. Utaratibu uko vipi.
1. Naamini una sale agreement aliyoandaliwa na wakili. Kama huna tafuta wakili akuandalie.
2. Wakili atakuandalia pia land form namba 29,30 na 35.
3. Tafuta Valuer akuandalie valuation report na aiaprove kwa Mthamini mkuu wa Serikali.

4. chukua nyaraka zako nenda halamashauri na utalipia 80,000 kama application fee.

5. Utakwenda na nyaraka zako (sale agreement na approved valuation report TRA ambayo watakufanyia hesabu na utapaswa kulipia capital gain 10%.

6. Utatakiwa kulipia concent ambayo ni 1% ya either thamani ya kiwanja kwa mujibu wa valuation report au sale agreement (whichever is higher).

7. Baada ya nyaraka zote kukamilika, Manispaa watawailisha ombi lako Wizara ya Ardhi napo utalipia registration fee which is 1% ya either sale or valuation report (whichever is higher).
Nyaraka hati yako itakuwa imesharudi kwa jina lako.
I think capital gain inatakiwa kulipwa na muuzaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom