Charabunga
New Member
- Sep 27, 2015
- 1
- 1
Mimi ni Afisa kilimo nipo mkoa wa dodoma katka walaya ya kondoa naomb kubadilishana na mtu yeyote aliepo dar es salaam au morogor kama yupo ani PM au apge cm 0657313148
Naomba kubadilishana vituo vya kazi,Afisa Kilimo.Nipo Kahama nataka kuhamia Mbeya:
Wewe ndo hujui kazi anayo fanya,joo mwanza mi nije dar sehemu yeyote.Sasa afisa kilimo Dar anafanya nini?, kwa mfano wilaya ya kinondoni.
Anasimamia na kuratibu kilimo cha mjini kitaalam wanaita Urban Agriculture.Sasa afisa kilimo Dar anafanya nini?, kwa mfano wilaya ya kinondoni.
Wewe ni kuku wa njano, mchawi mkubwaDah hujapata tu? Tubadilishane na mm basi, ila sina kazi