Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,888
- 10,368
Kubwa la kujiuliza ni hili dada yangu: KWA NINI WATU WANAHOFADHI PESA KWENYE NDOO NA MAGODORO? Ukipata jibu, jiulize iwpo kuchapisha pesa mpya kutatatua tatizo hilo.Let me admit. JPM ana mapungufu ya kutosha. Hata hivyo, bado ni chaguo sahihi kwa vita ya ufisadi. I believe, pesa nyingi zimefichwa "majumbani chini ya magodoro". Ninamuomba achapishe noti mpya haraka iwezekanavyo. Kwenye matumizi ya dola amejitahidi sana. I advise him to do the same wakati wa kubadilisha old bank notes. Muda mfupi pia utumike wakati wa kubadilisha noti. Mengine namuachia mwenyewe maana he's the president and top decision maker in TZ
Kwa faida ya wengine, Wabongo wa sasa wana akili sana. Wanabadili shilingi kuwa Euro na dola ndipo wanazihifadhi katika magodoro, wanajua hamuaminiki, mnaweza kuchapa noti zingine. Wanajua hamna ubavu wa kuchapisha Euro na dola, sio zenu!