Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,054
- 7,263
Apo nakubaliana na wewe ila in facts Tanzania bado sana kukubaliana na maboresho yako kweny mfumo wa elimu ,technology na uchumi pia ,ila ujumbe umefika kama una malengo hayo positive ni muda muafaka was kutafuta walioelimika kama mm tuweze kupaza sauti kwa majukwaa mbalimbali ili lengo liwe verified kwa maslahi mapana ya nchi na dunia kwa ujumla,Shukarani Andaa makala kuhusu hill.Imebidi niangalie tupo Jukwaa gani mara mbili...., Mkuu tukiongelea Mbinu za Tanzania kuchukua Kombe la dunia haimaanishi tutachukua kombe lijalo au kama tutachukua maishani mwetu..., ni kuongelea mbinu theoretically... baada ya hapo watu wanaweza kuboresha, kubadilisha au kupuuzia ila haikatazi kuongelea suala...
Hii ni theory on paper ambayo inaweza ikawa au isiwe applied, kabla ya ku-move practically ni lazima kitu kiwepo on paper na watu kufanya due dilligence..., na katika huo upembuzi yakinifu ni lazima kuangalia faida na hasara za mfumo uliopo na kama unaushauriwa unawezekana au una mapungufu kiasi gani.... (we have a dialogue and we debate kwa hoja sio vioja).
Kumbuka hapa sisi sio watengeneza Sera ila kama Concerned Citizens ni wadau wa kuweza kusema au kuchangia pale tunapoona panaweza kurekebishwa..., kwahio badala ya kusema haiwezekani swali ni kuuliza mapana yake yapoje na kama ulivyoona hili andiko bado linaendelea kujibu hizo changamoto zitatatuliwa vipi...
Issue hapa sio kuwafanya watunga sera wabadilike bali ni kuonyesha mapungufu yaliyopo; wayachukue au wasiyachukue hilo ni suala lao mimi kama concerned citizen takuwa nimefanya wajibu wangu kwa kueleza kile ninachoona kinafaa (In my Humble Opinion)