KUBADILIKA KWA KATIBA INCHINi.... Is it a Guatantee for a Better Tanzania??

AshaDii

Platinum Member
Apr 16, 2011
16,190
18,076

Habari wana JF na Watanzania kwa Ujumla.

Kama ilivo wazi kwa wadau na wanaharakati wa Siasa hapa inchini, Moja ya eneo of Great interest katika Masuala ya Siasa ni kubadilishwa/kurekebishwa kwa Katiba. Kwa ufupi katiba ni Moja ya kiungo muhimu katika kuendesha shughuli kiufanisi hasa zinazogusa kundi la watu kwa mapana katika nyanja zote husika ili kuweza fikisha lengo kuu la hicho chombo kwa maslahi ya Wahusika (hicho chombo kiwe shirika/kundi/Chama/Serkali n.k). Kwa kuangalia angle moja wapo; Umuhimu wa Katiba na Umanufaa wake kwa Watanzania. Bila kujali ushabiki wa chama husika cha mtoa maoni. Kwa kutegemea michango na maoni yalo huru na kuzibwa/gubikwa na chuki dhidi ya Chama kingine... Hii hasa nikilenga wana CCM na CDM.


Uzuri wa kuhusu katiba yetu ya hapa Tanzania ni kua walioweengi wanaelewa kua katiba ina Mapungufu makubwa ambayo inabidi yabadilike/rekebishwe kwa jinsi yoyote ile – hasa kama malengo ya hio katiba ni kuwagusa Watanzania wengi katika nyanja mbali mbali na kwa pamoja. Ingawa pia kuna upande wa pili wa shilingi... Na hio ni Ubaya. Ubaya kuhusu hio utambuzi wa hio katiba yetu ni kua katika hilo kundi la wengi waelewao na tunaokubali/kugombea/shabikia kwa nguvu zoote katiba ibadilishwe/rekebishwe ni wachache ambao kweli tunaelewa yale yalo ya Msingi katika (ki)Viini cha/vya Katiba hio ambacho(vo) huleta/changia Matatizo katika maeneo mbali mbali ya sasa kwa Mtanzania; hasa wa kawaida – ili kuweza kweli kua na katiba ambayo wengi wataikubali kua "Sasa yafaa"; na sio kukubali tu – bali pia ionekane kwamba kweli Katiba ipo kwa ajili ya kuwakilisha Watanzania pale kiutendaji.


Interest yangu ipo kwa Wanaharakati na wadau wa Siasa na mawazo yao katika Suala zima la Kubadilishwa/rekebishwa; Taking note and baring in mind kwa kuacha pembeni kwanza blah blah za kusema kua kila Mtanzania ana haki na anatakiwa kushirikishwa ndipo katiba ibadilishwe.. (Ni maoni ya Msingi na Mazuri – likitatizwa na ukweli kua bado saana Wanachi kujua hasa nini kipo katika katiba, na nini/wapi hasa hupelekea/changia matatizo katika jamii). Hii inapelekea Uhalisia wa wazi kua tukitaka iwe hivo ndo zoezi liendeshwe baas siku/miezi/miaka yaweza katika kimzaha hivi hivi bila hio katiba kubadilishwa huku mamillioni/malaki ya pesa yakipotea bila efficiency wala end result ya kuridhisha katika jina la kukusanya maoni toka kwa wananchi.


Sasa baas Maswali ya Msingi ambayo naamini wanaharakati na wadau wa Siasa wanauliza na kujiuliza pia ni kama; Watanzania wangapi wanajua Katiba ni nini? Wangapi wana utambuzi wa katiba kua ina husika/changia vipi katika kuendesha inchi? Wangapi walikua hata hawajui kua kuna katiba mpaka hapa karibuni ambapo kumekua na habari lukuki katika vyombo vya habari? Tukiachana na Mtanzania wa Kawaida wasomi wangapi hata wana interest na mambo ya Katiba? Katika idadi ya Wananchi ambao wanafuatilia na kutaka kujua hatima-ni wangapi wana mawazo huru ambayo hayajatokana tu na ushabiki bali kwa utambuzi wa kuijua katiba na kutaka ibadilishwe/rekebishwe kwa kuzingatia na kulenga maeneo husika katika katiba? Kua katiba isha wahi rekebishwa (na mara ngapi na kwa nini na kama hayo marekebisho yalileta mabadiliko tarajia)? Na maswali mengine kibao ya Msingi. Ukweli na Uhalisia wa maswali yoote haya katika haya hii ni kua ni Wachache.... Wachache mno. Sad but true.


Kwa muktadha wa aya hii hapo ya juu; Swala la msingi linabaki kua kama ni Watanzania wachache mno wanaelewa na kutambua majibu ya Maswali haya... Je kuna Matumaini kweli kua kuja kwa Katiba mpya ama ilorekebishwa ndio itafanya Tanzania na watu wake Maisha yabadilike na kua bora zaidi; hivo kua na Tanzania mpya? Na kama jibu ni NDIO... How?



Pamoja Saana

AshaDii.



.
 
AshaDii,
  1. kwanza, kama unavo sema hapo juu kuna vitu vingi vinatakiwa kubadilishwa. Kweli kuwa wote 100% happy na katiba mpya ila ikiwa hata 70% watafurahia inatosha kwa kuanzia.
  2. Wasi wasi wako wa watu kuelewa/kutoelewa katiba sio hoja sana (kwangu) sababu tukiangalia kenya, wakati wa bita ya machungwa na mandizi (the oranges being O in NO na the banana being the ticking signs that means YES) kila chama na kilijitahidi kuwaeleza wananchi maana ya katiba na matokeo yake katika maisha ya kila siku. It is a tough campaign. Kwa maoni yangu uchaguzi huu ni even more democratic than uchaguzi wa mabunge na raia sababu ideas and impacts are discussed, unlike on presidential and parliament where we don't even talk about project anymore, imekua chama, dini na sometimes kabila...
  3. Most important: the best costitution ni useless kama hakuna a political will to improve on people's life. Kwa kweli iwe left or right, sijaona a strong determination kumuweka mwananchi at the center of all development and progress initiatives. Kwa sasa watu wako focussed kutupiana makosa, kuchafuana na kujitetea. Ukiuliza maendeleo unapewa ripoti za namba na figures, ila huoni mtanzania akifaidi matokeo chanya ya maendeleo hayo.
Kwa kifupi ni lazima katiba ibadilishwe, na watu watajua tu ni kitu gani wanakubali/kataa. Ila ni muhimu sana politicians waweke watu mbele. Katiba ni kifaa cha kazi na kkitamfanyia kazi atakayo itumia, kwa purpose atakayo tumia.
 
Kenya has been transformed for the better by the new constitution. i would never have imagined public officials being vetted on live TV. having a well written and implemented constitution will drastically change bongo forever and for the better! just ask the president what happened when he tried to appoint chief justice and attorney general without following the new law. now the judiciary and the electoral body are trully independent

having a well written and implemented constitution will drastically change bongo forever and for the better. as a Kenyan i can testify to that.
 
Kenya has been transformed for the better by the new constitution. i would never have imagined public officials being vetted on live TV. having a well written and implemented constitution will drastically change bongo forever and for the better! just ask the president what happened when he tried to appoint chief justice and attorney general without following the new law. now the judiciary and the electoral body are trully independent

having a well written and implemented constitution will drastically change bongo forever and for the better. as a Kenyan i can testify to that.

....couldn't agree more with you. Thanks
 
AShaDii,

I have gone through the thread ...! i FIND IT VERY COOL .. You know what?

Reminds me the other threads ... With almost the same skeleton and structure ... I don' remember the exactly words ...

BUT

The discussion was ... kama chama kinachotawala kikiondoka madarakani na Nchi kutawaliwa na chama cha upinzania ... Ni MABADILIKO hayo yangemsaidia Mwanachi na kuleta maendeleo amabya sasa hayapo kabisa au isingekuwa na manufaa ya kina kwa jamii!!

What in all this is ... like you want to focus in real CAUSE of the problems and not the EFFECTS ...!

Taking us away from duality of things and focus in singularity ... The real cause ...!

Is it Katiba ya zamani au katiba ya sasa ... The real and ROOT cause of our Problems ... or Its something else?

IMO ...Its something else ... Its no really the the new Katiba!! Its something else ...Then come new Katiba mpya!!

Yes!! What is that SOMETHING ELSE?
 
... Swala la msingi linabaki kua kama ni Watanzania wachache mno wanaelewa na kutambua majibu ya Maswali haya... Je kuna Matumaini kweli kua kuja kwa Katiba mpya ama ilorekebishwa ndio itafanya Tanzania na watu wake Maisha yabadilike na kua bora zaidi; hivo kua na Tanzania mpya? Na kama jibu ni NDIO... How?

Binafsi siamini kuwa duniani mambo yako kirahisi hivyo! ... Is Just like celebrating a free LUNCH!!

Kwamba just replace the old with new constitution and we have the Tanzania turned into heaven ...The Tanzania we want!!

Kweli katiba mpya inaweza kuleta changamoto mpya nk!! Lakini hilo ndilo Tatizo la Msingi!?
 
AJ nimekimbia huu uzi unadai my whole concetration na lately i was So busy, Kuanzia hapo kwa Roulette nina Maswali lukuki na Comments kede kede....

I will be back in a day or two....
 
Kenya has been transformed for the better by the new constitution. i would never have imagined public officials being vetted on live TV. having a well written and implemented constitution will drastically change bongo forever and for the better! just ask the president what happened when he tried to appoint chief justice and attorney general without following the new law. now the judiciary and the electoral body are trully independent

having a well written and implemented constitution will drastically change bongo forever and for the better. as a Kenyan i can testify to that.

Nani kakuambia "better" ends at the appointment of officials?? Better should the least be reflected in what is happening in the kitchen. watu wanalala njaa we unasema Kenya is better sababu ya procedures za kuchagua viongozi.

kweli binaadamu hatujui tunachokitaka
 
Kweli better should go beyond appointment of officials, indeed such appointments in our context do not hold much water, however the new constitution could enhance better use of positions to result into productivity that can ensure bread to everyone, so 8etter to have the new law than not!
 
Kweli better should go beyond appointment of officials, indeed such appointments in our context do not hold much water, however the new constitution could enhance better use of positions to result into productivity that can ensure bread to everyone, so 8etter to have the new law than not!
Rip
 

Habari wana JF na Watanzania kwa Ujumla.


Kama ilivo wazi kwa wadau na wanaharakati wa Siasa hapa inchini, Moja ya eneo of Great interest katika Masuala ya Siasa ni kubadilishwa/kurekebishwa kwa Katiba. Kwa ufupi katiba ni Moja ya kiungo muhimu katika kuendesha shughuli kiufanisi hasa zinazogusa kundi la watu kwa mapana katika nyanja zote husika ili kuweza fikisha lengo kuu la hicho chombo kwa maslahi ya Wahusika (hicho chombo kiwe shirika/kundi/Chama/Serkali n.k). Kwa kuangalia angle moja wapo; Umuhimu wa Katiba na Umanufaa wake kwa Watanzania. Bila kujali ushabiki wa chama husika cha mtoa maoni. Kwa kutegemea michango na maoni yalo huru na kuzibwa/gubikwa na chuki dhidi ya Chama kingine... Hii hasa nikilenga wana CCM na CDM.


Uzuri wa kuhusu katiba yetu ya hapa Tanzania ni kua walioweengi wanaelewa kua katiba ina Mapungufu makubwa ambayo inabidi yabadilike/rekebishwe kwa jinsi yoyote ile – hasa kama malengo ya hio katiba ni kuwagusa Watanzania wengi katika nyanja mbali mbali na kwa pamoja. Ingawa pia kuna upande wa pili wa shilingi... Na hio ni Ubaya. Ubaya kuhusu hio utambuzi wa hio katiba yetu ni kua katika hilo kundi la wengi waelewao na tunaokubali/kugombea/shabikia kwa nguvu zoote katiba ibadilishwe/rekebishwe ni wachache ambao kweli tunaelewa yale yalo ya Msingi katika (ki)Viini cha/vya Katiba hio ambacho(vo) huleta/changia Matatizo katika maeneo mbali mbali ya sasa kwa Mtanzania; hasa wa kawaida – ili kuweza kweli kua na katiba ambayo wengi wataikubali kua "Sasa yafaa"; na sio kukubali tu – bali pia ionekane kwamba kweli Katiba ipo kwa ajili ya kuwakilisha Watanzania pale kiutendaji.


Interest yangu ipo kwa Wanaharakati na wadau wa Siasa na mawazo yao katika Suala zima la Kubadilishwa/rekebishwa; Taking note and baring in mind kwa kuacha pembeni kwanza blah blah za kusema kua kila Mtanzania ana haki na anatakiwa kushirikishwa ndipo katiba ibadilishwe.. (Ni maoni ya Msingi na Mazuri – likitatizwa na ukweli kua bado saana Wanachi kujua hasa nini kipo katika katiba, na nini/wapi hasa hupelekea/changia matatizo katika jamii). Hii inapelekea Uhalisia wa wazi kua tukitaka iwe hivo ndo zoezi liendeshwe baas siku/miezi/miaka yaweza katika kimzaha hivi hivi bila hio katiba kubadilishwa huku mamillioni/malaki ya pesa yakipotea bila efficiency wala end result ya kuridhisha katika jina la kukusanya maoni toka kwa wananchi.



Sasa baas Maswali ya Msingi ambayo naamini wanaharakati na wadau wa Siasa wanauliza na kujiuliza pia ni kama; Watanzania wangapi wanajua Katiba ni nini? Wangapi wana utambuzi wa katiba kua ina husika/changia vipi katika kuendesha inchi? Wangapi walikua hata hawajui kua kuna katiba mpaka hapa karibuni ambapo kumekua na habari lukuki katika vyombo vya habari? Tukiachana na Mtanzania wa Kawaida wasomi wangapi hata wana interest na mambo ya Katiba? Katika idadi ya Wananchi ambao wanafuatilia na kutaka kujua hatima-ni wangapi wana mawazo huru ambayo hayajatokana tu na ushabiki bali kwa utambuzi wa kuijua katiba na kutaka ibadilishwe/rekebishwe kwa kuzingatia na kulenga maeneo husika katika katiba? Kua katiba isha wahi rekebishwa (na mara ngapi na kwa nini na kama hayo marekebisho yalileta mabadiliko tarajia)? Na maswali mengine kibao ya Msingi. Ukweli na Uhalisia wa maswali yoote haya katika haya hii ni kua ni Wachache.... Wachache mno. Sad but true.


Kwa muktadha wa aya hii hapo ya juu; Swala la msingi linabaki kua kama ni Watanzania wachache mno wanaelewa na kutambua majibu ya Maswali haya... Je kuna Matumaini kweli kua kuja kwa Katiba mpya ama ilorekebishwa ndio itafanya Tanzania na watu wake Maisha yabadilike na kua bora zaidi; hivo kua na Tanzania mpya? Na kama jibu ni NDIO... How?




Pamoja Saana

AshaDii.



.
 
Kenya has been transformed for the better by the new constitution. i would never have imagined public officials being vetted on live TV. having a well written and implemented constitution will drastically change bongo forever and for the better! just ask the president what happened when he tried to appoint chief justice and attorney general without following the new law. now the judiciary and the electoral body are trully independent

having a well written and implemented constitution will drastically change bongo forever and for the better. as a Kenyan i can testify to that.
 
Every citizen including the president has a duty to respect ,uphold and defend the constitution and all its chapters and articles

Sadly some indivuals are trying their best to do the opposite! Pathetic
 
Every citizen including the president has a duty to respect ,uphold and defend the constitution and all its chapters and articles

Sadly some indivuals are tryingt heir best to do the opposite! Pathetic
Like who?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom