Kubadili kikoo cha Nokia 3.1

Executor

JF-Expert Member
Sep 29, 2014
867
990
Habari,

Kuna mafundi humu? Nahitaji kubadili kikoo cha Nokia 3.1 gharama ikoje, nikuletee unibadilishie...???

Ahsante.
 
Kuna jamaa yangu k'koo nimewahi kumuulizia kioo cha Nokia fulani akasema kama simu unaendelea kuitumia fresh basi usiangaike kubadiri.

Vioo vingi ni copy sana ndani ya mwezi tu unasikia simu imeanza kuleta maruhani.
 
Nashukuru xn
Kuna jamaa yangu k'koo nimewahi kumuulizia kioo cha Nokia fulani akasema kama simu unaendelea kuitumia fresh basi usiangaike kubadiri.

Vioo vingi ni copy sana ndani ya mwezi tu unasikia simu imeanza kuleta maruhani.
 
Back
Top Bottom