Kuna mama wa pale TRA tazara alikuwa anataka hadi passport size picha ya muuzaji na mnunuaji, sijui hii imekaajeCopy ya kitambulisho cha aliyekuuzia gari ikikosekana,hawabadili kadi?Nina vyote hivyo,isipokuwa copy ya kitambulisho cha aliyeuza gari
Itz 50000 thousand tshs....