Fahamu utaratibu na gharama za kubadili jina la mmiliki wa kadi ya gari ni kiasi gani TRA?

swamila

Senior Member
Apr 4, 2015
176
81
Msaada bei ya kubadili kadi ya gari ununuapo kwa mtu ni kiasi gani kubadili TRA?

MAONI YALIYOTOLEWA NA WADAU
Document wanazohitaji ni:

1. Mkataba wa kuuzina chombo cha moto.

2. Nakala ya kitambulisho cha mpiga kura/Leseni ya udereva/Pasi ya kusafiria au kitambulisho cha Taifa. Nakala hiyo iwe imeambatishwa na pasipoti ndogo na kuwa certified na Wakili. Hii inahusu pande zote mbili (Mnunuzi na Mnunuaji).

3. Muuzaji anapaswa kulipa 1% ya kiasi alichouza chombo cha moto.

4. Mnunuzi atalipia gharama ya kuhamisha umiliki Bank kiasi cha 50,000/- (kama ni gari) kama kama ni pikipiki atalipa 27,000/-. Pia, mnunuzi a talipia 10,000/- Bank kama gharama ya kadi.

5. Polisi unalipia 5,000/- kwa magari madogo na 10,000/- kwa magari makubwa ikiwa ni gharama ya kukagua gari.
6. Kuwe na kiapo cha Umiliki.

7. Nambari ya Mlipakodi (TIN Number).
---
Motor vehicle transfer tax
Motor vehicle transfer tax is payable when a vehicle changes ownership from one person to another. Tax on transfer is payable by the transferee and Stamp Duty on the sale of asset is paid by the seller. The taxes are paid through the bank.

Transfer fees
Motor vehicle TSHS 50,000

Motor cycle TSHS 27,000

New registration card on transfer TSHS 10,000

Stamp Duty 1%

Hapo ni endapo gari hiyo au chombo hicho hakina deni lolote linalo daiwa.
---
Mkuu hata mimi kama wiki 2 nimetoka fanya change ya ownership ila gari hii ilikuwa ni mpya niliagiza kwa jina langu ila nilipanga liwe LA mzazi jamaa alinipunguzia kiaina kwakuwa niliambatanisha vielelezo vya kifamilia passport ya mzazi na birth certifacate yangu nikamwambia officer hapa hamna mauziano so sijajua kama kweli imefutwa au LA ila as per TRA website 1% bado ipo

View attachment 486883
 
msaada bei ya kubadili kadi ya gari ununuapo kwa mtu ni kiasi gani kubadili TRA?
msaada bei ya kubadili kadi ya gari ununuapo kwa mtu ni kiasi gani kubadili TRA?
Motor vehicle transfer tax
Motor vehicle transfer tax is payable when a vehicle changes ownership from one person to another. Tax on transfer is payable by the transferee and Stamp Duty on the sale of asset is paid by the seller. The taxes are paid through the bank.

Transfer fees
Motor vehicle TSHS 50,000

Motor cycle TSHS 27,000

New registration card on transfer TSHS 10,000

Stamp Duty 1%

Hapo ni endapo gari hiyo au chombo hicho hakina deni lolote linalo daiwa.
 
Kuna ndugu kafafanua vizuri,kifupi gharama halisi ni
sh.50,000
Plus sh.10,000 gharama ya kureprint kadi mpya,
Jumlisha 1% stamp duty ambayo hiyo Wana calculate kutoka katika thamani ya mauziano ya gari husika. Mfano mkiuziana gari kwa sh.10,000,000 basi TRA utaenda kulipa sh 160,000
 
Kuna ndugu kafafanua vizuri,kifupi gharama halisi ni
sh.50,000
Plus sh.10,000 gharama ya kureprint kadi mpya,
Jumlisha 1% stamp duty ambayo hiyo Wana calculate kutoka katika thamani ya mauziano ya gari husika. Mfano mkiuziana gari kwa sh.10,000,000 basi TRA utaenda kulipa sh 160,000
Stamp duty nasikia imefutwa. Juzi kuna jamaa katoka kufanya transfer ya kadi ya trekta kalipia 60,000 tu.
 
Kuna ndugu kafafanua vizuri,kifupi gharama halisi ni
sh.50,000
Plus sh.10,000 gharama ya kureprint kadi mpya,
Jumlisha 1% stamp duty ambayo hiyo Wana calculate kutoka katika thamani ya mauziano ya gari husika. Mfano mkiuziana gari kwa sh.10,000,000 basi TRA utaenda kulipa sh 160,000
Asante mkuu kwa ufafanuzi mzuri.
 
Stamp duty nasikia imefutwa. Juzi kuna jamaa katoka kufanya transfer ya kadi ya trekta kalipia 60,000 tu.
Mkuu hata mimi kama wiki 2 nimetoka fanya change ya ownership ila gari hii ilikuwa ni mpya niliagiza kwa jina langu ila nilipanga liwe LA mzazi jamaa alinipunguzia kiaina kwakuwa niliambatanisha vielelezo vya kifamilia passport ya mzazi na birth certifacate yangu nikamwambia officer hapa hamna mauziano so sijajua kama kweli imefutwa au LA ila as per TRA website 1% bado ipo

Screenshot_2017-03-25-18-13-44.png
 
Kuna ndugu kafafanua vizuri,kifupi gharama halisi ni
sh.50,000
Plus sh.10,000 gharama ya kureprint kadi mpya,
Jumlisha 1% stamp duty ambayo hiyo Wana calculate kutoka katika thamani ya mauziano ya gari husika. Mfano mkiuziana gari kwa sh.10,000,000 basi TRA utaenda kulipa sh 160,000
Pia kumbuka kuna penalt kama umepitisha mwezi mmoja tangu mauziano bila kubadili umiliki.
 
mwezi uliopita nimetoka kufanya transfer ya noah nilinunuaa kwa 8.5 milion ila barua ya mauziano tukaandika 5 milion na gari mara ya kwanza ilikuwa private na mm nikabadili kutoka private kuja cormecial na pia kubadili jina wakanifamyia jumla tsh 140000,
 
Back
Top Bottom