Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,088
VVTi ni valve janja, zinafanya kazi ya ziada km kuzuia mafuta yasiende wakati hayahitajiki katika kusukuma gari, uvutaji wa mvuke wa petrol na utoaji wa muunguzo unaotoka kwenye tundu la piston mwanzo zilikuwa valve 2 tu inlet na outlet sasa VVTi wanaweka mpaka 5Mzeee 5S inashida gani bila mfumo wa VVTi, nielezee kidogo hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
(VVTi Variebly Valve Timing intellgent)
sasa tofauti ya injini ya 5s ni kuwa ukaaji wake na baadhi ya vitu vya zamani (hiyo injini ya 1MZ) ilikuwa na vifaa vingi itakugharimu rudishia tu injini nyingine kama ya awali zipo pale Ilala DSM