Jack HD
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 852
- 1,158
Amani iwe juu yenu!!
Wapenzi wengi wamejikuta kwenye mtihani wa kupendana na wenza wao ilhali imani za dini zao huwa zipo tofauti. Jambo ambalo siku zote nimekuwa nikiliamini ili mtu awe na familia iliyo bora lazima nyumba iwe na imani madhubuti. Kuwepo kwa imani mbili ni kugawa watoto na hata imani watakayoifuata baadae mara nyingi huwa hawaitendei haki ipasavyo.
Nakubali kuwa kuna familia nyingi ambazo zipo huku wazazi wakiwa na imani zao tofauti. Binafsi yangu huwa naona hili halipo sawa kabisa. Sijui wadau mnalisemeaje hili?
Wapenzi wengi wamejikuta kwenye mtihani wa kupendana na wenza wao ilhali imani za dini zao huwa zipo tofauti. Jambo ambalo siku zote nimekuwa nikiliamini ili mtu awe na familia iliyo bora lazima nyumba iwe na imani madhubuti. Kuwepo kwa imani mbili ni kugawa watoto na hata imani watakayoifuata baadae mara nyingi huwa hawaitendei haki ipasavyo.
Nakubali kuwa kuna familia nyingi ambazo zipo huku wazazi wakiwa na imani zao tofauti. Binafsi yangu huwa naona hili halipo sawa kabisa. Sijui wadau mnalisemeaje hili?