La msingi ni kumpa support tu katika utendaji wakeRais wetu anajua anachokifanya na anauhakika na kazi yake,,
Hapo anapanga. Majeshi upya ili wazidi kujipanga na kuongeza nguvu za ziada..
Hua hanaha haraka ktk kazi yake,,,
Jk alivunja baraza la mawaziri mara 2 na akawapanga upya na kazi ikaendelea
Sasa JPM akifanya kitu kidooogo tu kila mmoja analitolea jicho na kulitafsiri tofaut
Mkuu. Tuelezee kidogo kuhusu Lowassa. Anaijua miiko ya Chadema? Au ndio hiyo bora liende?Sijui maana alisema ataunda baraza dogo sasa naona kaliongeza, Sasa labda kwa kuwa limeongezeka TIJA itaongezeka hata sijui' Pia sijui kama Shonza alistahili kuwa Waziri huku kukiwa na wanaccm waliotukuka ndani ya chama kuliko huyu aliyetoka chadema juzi wala miiko ya sisiem haijui ,
Mkuu wanawashwawashwa wazoee bure tu, hawana jipyaRais wetu anajua anachokifanya na anauhakika na kazi yake,,
Hapo anapanga. Majeshi upya ili wazidi kujipanga na kuongeza nguvu za ziada..
Hua hanaha haraka ktk kazi yake,,,
Jk alivunja baraza la mawaziri mara 2 na akawapanga upya na kazi ikaendelea
Sasa JPM akifanya kitu kidooogo tu kila mmoja analitolea jicho na kulitafsiri tofaut
Alishasema huko kwenu katongozwa na zaidi ya makamanda kumi akiwemo Mbowe. Na Lissu. Yaani CDM imekaa kiumalaya tu, loooh.Leo shonza atahutubia watz
Hata mimi nina shauku ya kumsikia Jemedali Magufuli, Mawaziri, ManaibuHaulali kama mimi ninayesubiri kusikia sauti yake live!?
Nahisi anaweza waambia wao ndio waongeee, ila akiongea itakuwa bomba kama kuna kiti anataka kutueleza au kutuelewesha atafanya hivyo pia yeye mwenyewe.
Mkuu wanawashwawashwa wazoee bure tu, hawana jipya
Haulali kama mimi ninayesubiri kusikia sauti yake live!?
Nahisi anaweza waambia wao ndio waongeee, ila akiongea itakuwa bomba kama kuna kiti anataka kutueleza au kutuelewesha atafanya hivyo pia yeye mwenyewe.
La msingi ni kumpa support tu katika utendaji wake