Radio Producer
JF-Expert Member
- Feb 4, 2011
- 724
- 295
Wadau wa Shinyanga,
Tumejaribu kufanya mini research juu ya soko la biashara ya radio Shinyanga. Mkoa huu bado unanafasi nzuri sana ya kutengeneza income kwa biashara hii ya radio. Shinyanga Manispaa mpaka sasa kuna radio Moja tu, Wilaya ya Kahama ina Radio 2 tu, Na Maswa kuna radio 1 tu. Nafasi bado ni kubwa na nzuri mno ukianzisha pale Shinyanga mjini ni rahisi sana kuchukua nafasi pale.
Kwa kuanzia tunaweza kukutengenezea bandle ifuatayo:-
1. Vifaa vyote (toka TZ) vya studio designed na sisi ni Tshs 4,000,000/=
2. Transmitter yenye watts 600 Tshs 15,304,000/= hii inakila kitu mpaka shipping cost, taxes, antenna, coax cable yaani ipo tayari kwa ajili ya kufungwa tu.
So jumla ni Tshs 19,304,000/=
Usajili TCRA Tshs 2,000,000/=
Gharama za kutengeneza studio na installations hazitazidi Tshs 2,000,000/=
Human Reseource tutakuelekeza kwa urahisi.
Kwa hiyo Jumla yote ni Tshs 23,304,000/= hii ipo kamili kila kitu. ee bwana. Radio itasikika umbali wa kilomita kati 65-100
Wasiliana nasisi basi: consultancy@radiotz.com
Tumejaribu kufanya mini research juu ya soko la biashara ya radio Shinyanga. Mkoa huu bado unanafasi nzuri sana ya kutengeneza income kwa biashara hii ya radio. Shinyanga Manispaa mpaka sasa kuna radio Moja tu, Wilaya ya Kahama ina Radio 2 tu, Na Maswa kuna radio 1 tu. Nafasi bado ni kubwa na nzuri mno ukianzisha pale Shinyanga mjini ni rahisi sana kuchukua nafasi pale.
Kwa kuanzia tunaweza kukutengenezea bandle ifuatayo:-
1. Vifaa vyote (toka TZ) vya studio designed na sisi ni Tshs 4,000,000/=
2. Transmitter yenye watts 600 Tshs 15,304,000/= hii inakila kitu mpaka shipping cost, taxes, antenna, coax cable yaani ipo tayari kwa ajili ya kufungwa tu.
So jumla ni Tshs 19,304,000/=
Usajili TCRA Tshs 2,000,000/=
Gharama za kutengeneza studio na installations hazitazidi Tshs 2,000,000/=
Human Reseource tutakuelekeza kwa urahisi.
Kwa hiyo Jumla yote ni Tshs 23,304,000/= hii ipo kamili kila kitu. ee bwana. Radio itasikika umbali wa kilomita kati 65-100
Wasiliana nasisi basi: consultancy@radiotz.com