Kuanzisha FM Radio Station

JoJiPoJi

JF-Expert Member
Aug 8, 2009
2,906
3,249
Ndugu zangu tangu zamani nilikuwa na ndoto ya kuanzisha kituo cha redio kwa ajili ya vijana wenzangu ili waweze kusikika, naona sasa ni muda muafaka wa kufanya hii kitu.
Naombeni mtu yeyote mwenye Idea ya taratibu za kufuata, gharama zake na kila kitu kinachohusiana na radio station anisaidie ili niweze kuingia kwenye tasnia hiyo ya habari.
 
Hautapewa kibali thats for sure..... unless utangaze wanayotaka wao au... ukipewa ukiwa tishio kwao utafungiwa.... the easiest thing ni kuanzia online radio labda watu wakusikilize through their phones
 
Kwa taarifa yako masafa ya FM Dar, Arusha, Mwanza, Dodoma na Kilimanjaro yamekwisha sasa ujipange kwa mikoa nje ya hiyo. Kwa kuwa tunaingia kwenye mfumo wa digital jiandae na kama Tsh 150m hivi.
 
Nenda TCRA kuna application form zinauzwa au zidownload kwenye website yao then tafuta telecom Consultator akujazie ukizirudisha pamoja na attached doc za company yako ndo utazilipia around usd 300 hivi.wakikuaward masafa utalipia annual fee.
kwa vifaa unahitaji studio equips,transmitter na mnara with antenna. kama studio na transmitter vipo tofauti utahitaji pia link yastudio to transmitter...usisahau standby generator coz kwa umeme wetu huu wa tanesco radio yako yaweza kuwa off air muda mwingi!!
 
Nenda TCRA kuna application form zinauzwa au zidownload kwenye website yao then tafuta telecom Consultator akujazie ukizirudisha pamoja na attached doc za company yako ndo utazilipia around usd 300 hivi.wakikuaward masafa utalipia annual fee.
kwa vifaa unahitaji studio equips,transmitter na mnara with antenna. kama studio na transmitter vipo tofauti utahitaji pia link yastudio to transmitter...usisahau standby generator coz kwa umeme wetu huu wa tanesco radio yako yaweza kuwa off air muda mwingi!!
Mkuu naona umenisaidia sana, unaweza kunipa bei ya hivyo vi2 kama studio equips,transmitter na mnara with antenna.
 
Mkuu naona umenisaidia sana, unaweza kunipa bei ya hivyo vi2 kama studio equips,transmitter na mnara with antenna.
Kuhusu mnara might be cheaper ukikodi na kushare na watu kama TTCL sababu kuna miji sasa hawataki kila mtu kuwa na mnara wake ni uchafuzi wa mji
 
Mkuu naona umenisaidia sana, unaweza kunipa bei ya hivyo vi2 kama studio equips,transmitter na mnara with antenna.
transmitter ya 500W to 1KW inarange between 8,000 to 10,000 USD na studio equipments inategemea umedesign vipi studio yako na ya kuweza kutumika na watu wangapi kwa wakati mmoja, vitu kama desk mic, headphones,mixer,amplifier,computer na studio software,recorder,dvd/vcd player etc vinatakiwa na bei inategemea make,quality na capacity.furnitures na sound proof material kwa studio.
Antenn Mast nayo ni shuguli nyingine pevu,zipo za aina tofauti na bei kulingana na urefu wake na sifa nyingine kama kuhimili upepo na kustahimili kutu etc
 
Hautapewa kibali thats for sure..... unless utangaze wanayotaka wao au... ukipewa ukiwa tishio kwao utafungiwa.... the easiest thing ni kuanzia online radio labda watu wakusikilize through their phones

Mkuu umeelezea kitu hapo ni kigeni kidogo, online radio through my fone hebu nipe huo utaaramu.
 
transmitter ya 500W to 1KW inarange between 8,000 to 10,000 USD na studio equipments inategemea umedesign vipi studio yako na ya kuweza kutumika na watu wangapi kwa wakati mmoja, vitu kama desk mic, headphones,mixer,amplifier,computer na studio software,recorder,dvd/vcd player etc vinatakiwa na bei inategemea make,quality na capacity.furnitures na sound proof material kwa studio.
Antenn Mast nayo ni shuguli nyingine pevu,zipo za aina tofauti na bei kulingana na urefu wake na sifa nyingine kama kuhimili upepo na kustahimili kutu etc

Mkuu ukiwa na hivi vitu unaweza kurusha signal kwa umbali gani?
 
Mkuu ukiwa na hivi vitu unaweza kurusha signal kwa umbali gani?

Unajua umbali wa FM transmission unategemeana na mazingira yakijuografia ya eneo unalorusha matangazo...milima na mabonde hususani huathiri.pia majengo mengi marefu ni kikwazo.ila at least radius ya km 30 bila mikwaruzo
 
Very informative tips. Je, kuanzisha online radio unalazimika kupata/kunua vibali kutoka tcra??
 
Sidhani Kama hiyo unahitaji Licence yao na hawana mamlaka nayo coz unaweza kuianzisha ukiwa popote pale duniani na wasikilizaji wake pia wamesambaa popote kwenye Mtandao
 
Unajua umbali wa FM transmission unategemeana na mazingira yakijuografia ya eneo unalorusha matangazo...milima na mabonde hususani huathiri.pia majengo mengi marefu ni kikwazo.ila at least radius ya km 30 bila mikwaruzo

M\Ni kweli Mkuu, muulizaji anashauriwa kuweka trasmission tower yake juu ya mlima wowote na radius inaweza kwenda mbali sana hata km200 na zaidi, hata kwa 1KW trasmitter,
 
Mkuu umeelezea kitu hapo ni kigeni kidogo, online radio through my fone hebu nipe huo utaaramu.

Hiyo mkuu I think inalipa sana tuuu, na for Tanzania will be interesting mazee, lakini je hii si inakuwa na kila kitu sawa na radio ya kawaida tu maana all the equipments are needed even plus online internet radio...poa all the best mazee
 
Very informative tips. Je, kuanzisha online radio unalazimika kupata/kunua vibali kutoka tcra??
Mtu yeyote anaweza kuanzisha online radio actually its very cheap you only need a pc na some few softwares na mtu wa ku host information zako, TCRA hawana mamlaka sababu hii itakuwa watu wanapata through the internet. Kuna iformation nyingi sana kwenye mtandao nime google mojawapo nimepata ni hii
http://www.wavestreaming.com/articles/how-to-start-an-internet-radio-station.php
 
Hiyo mkuu I think inalipa sana tuuu, na for Tanzania will be interesting mazee, lakini je hii si inakuwa na kila kitu sawa na radio ya kawaida tu maana all the equipments are needed even plus online internet radio...poa all the best mazee

Hapana online Radio naweza hata nikaianzisha this minute ni kwamba kunakuwa kuna host (ambaye anaweka mambo unayotaka au unayoongea) au wewe una upload information zako from your laptop through internet kwa huyu host ambaye yeye anakuwa na kazi ya kusambazia watu yeye anakuwa server wako.. That means anaweza anakupa link ambayo wako wakibonyeza play (e.g. youtube) watu wanasikiliza.... The only negative ni kwamba you need to be online kusikiliza, hata wenye simu inabidi wawe na simu za kisasa advantage ni kwamba dunia nzima wanaweza wakakusikia
 
Nenda TCRA kuna application form zinauzwa au zidownload kwenye website yao then tafuta telecom Consultator akujazie ukizirudisha pamoja na attached doc za company yako ndo utazilipia around usd 300 hivi.wakikuaward masafa utalipia annual fee.
kwa vifaa unahitaji studio equips,transmitter na mnara with antenna. kama studio na transmitter vipo tofauti utahitaji pia link yastudio to transmitter...usisahau standby generator coz kwa umeme wetu huu wa tanesco radio yako yaweza kuwa off air muda mwingi!!

Umesema kweli na umerahisisha sana mkuu. Ila kabla ya kuanza mchakato wa kuomba kibali na masafa afanye upembuzi yakinifu kuona kama huo mradi unalipa. Ili kufanikiwa ni bora akajaribu kulenga soko jipya la wasikilizaji, hili la sasa nadhani liko saturated.
 
Wakuu ahsanteni sana kwa michango na maoni yenu naona yatanisaidia sana, ila pia bado nahitaji ushauri na maoni mapya kutoka kwenu, ili niweze kufanikisha mradi huu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom