Si rahisi kujua wenye uhitaji, lakini vikiwa kwenye nyumba za ibada ni rahisi watu kuvipata. Hasa nguo za watoto kuna ambao hawana za kubadilisha watoto wakishaoga.
Ubarikiwe.umenikumbusha kitu niliplan kufanya church juzi..dah.Mungu nisamehe kumsahahu yule mtoto!