Ichwampaka
Senior Member
- Nov 19, 2018
- 134
- 109
Katika kuongeza ajira katika sekta binafsi na serikali kuwekeza ili kupata kodi baadaye, napenda kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli kusaidia watanzania kukuza uchumi wao kwa kupendekeza mambo yafuatayo:
1. Serikali iruhusu mtu yoyote kuanzisha biashara yoyote halali na kupewa tax break kwa muda wa miezi mitatu. Kuanzia 1st July 2020 hutalipa kodi, leseni, ushuru wa tozo yoyote hadi 30/09/2020. Kuanzia 1st October 2020 ndio utaanza kukadiriwa kodi na kulipa tozo na ushuru kuanzia hapo kwenda mbele.
2. Biashara ni zile mpya kabisa (TIN number mpya) ndio zinaingia kwenye huu utaratibu.
Serikali haipotezi chochote ila inakuwa ''imepanda mbegu'' ya kuvuna kodi hapo baadaye. Lazima kuwa na njia za kuvutia watu kuanzisha biashara. Katika mpango huu kwa nchi nzima inatarajiwa biashara mpya (walipa kodi wapya) 875,000.
Rejea ushauri wangu mwingine:
Business development unit ndani ya Serikali
1. Serikali iruhusu mtu yoyote kuanzisha biashara yoyote halali na kupewa tax break kwa muda wa miezi mitatu. Kuanzia 1st July 2020 hutalipa kodi, leseni, ushuru wa tozo yoyote hadi 30/09/2020. Kuanzia 1st October 2020 ndio utaanza kukadiriwa kodi na kulipa tozo na ushuru kuanzia hapo kwenda mbele.
2. Biashara ni zile mpya kabisa (TIN number mpya) ndio zinaingia kwenye huu utaratibu.
Serikali haipotezi chochote ila inakuwa ''imepanda mbegu'' ya kuvuna kodi hapo baadaye. Lazima kuwa na njia za kuvutia watu kuanzisha biashara. Katika mpango huu kwa nchi nzima inatarajiwa biashara mpya (walipa kodi wapya) 875,000.
Rejea ushauri wangu mwingine:
Business development unit ndani ya Serikali