Smart Guy
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,701
- 6,658
Ni kama kafaraImani ya wavuvi nasikia wanaamini ndio samaki watapatikana wengi
La wapi hilo? Acheni hizo imani jamani!Kuna lizee limeenda ukerewe juzi na kupeleka mkosi
Uko wapi sasa?Hee! Mimi simo
Jitahd kuhudhuria english course itasaidia mkuu.
Asantee karibu kituoni mkuupoa rasi simba
nimekuelewa
Kama vile?Mkuu sisi watu wa huku ziwani tunashuhudia mengi sana hatuoni ajabu
Sisi tunaendelea kuwavua tu na leo nimeleta kiloglam 52 na under size 11. We acha kula ila kuwavua hatuachi
Maiti zilizokoswa waokozi zikiwa zimeoza ziwani haswa huku visiwaniKama vile?