hipocampus
Member
- Sep 14, 2020
- 89
- 104
Moja kwa moja kwenye Mada nitasalimia baadae.
Binafsi nilikuwa moja ya wasisimamizi wa uchaguzi katika nafasi kubwa ya "OBSERVER MKUU" kwenye uchaguzi huu hivyo nilikuwa nakagua karibu kila kituo cha kata na majimbo mbalimbali.
Nikiri kabisa Sarakasi zilikuwepo na mie mwenyewe nimeshuhudia ila huna cha kufanya kwa kuwa ni agizo kutoka juu.
Kilichonifanya nije hapa ni juu ya hawa vijana ambao ukikutana nao mitaani wanalalamika kwamba maisha ni magumu na kweli namagumu.
Japo mie nina ajira ya serikali nilijitahidi sana kuyaeleza haya vijana umuhimu wa kujtokeza kupiga kura hata kama yanaona yataibiwa na tume ila kura yao ilikuwa na umuhimu yani "msg sent"hata kama watakuuibia ila Msg ingefka kwa watawala na kwa kuwa wao wana matatizo mengi basi ingesaidia.
Sasa kipindi natembelea vituoni nilikereka sana yaani utakuta kituo cha watu 1000 lakini waliopiga kura n 80 ,na ktk hio namba VIJANA n kumi tu na namba iliyobak n Mazee, Mabibi na mijanamke iliyopewa mikopo ya halmashauri.
VIJANA wengi walikuwa mtaani na wengne walikuwa wanawaleta hayo Mazee yenye damu ya MaCCM kwenye vituo na bodaboda kisha hayo bila Soni yanasepa! Ukiyauliza yanakwenda wapi Hayana Majibu yanachekacheka tu yanafikiri haya mambo hayawahusu!
Nilichoamua tokea juzi kwa hawa VIJANA sitawaonea tena huruma hata kama yakija kunilalamikia kuhusu hali zao za maisha kwa sababu hayajielewi.
Tokea juzi nimeyakatia mawasiliano HayA mAvijana kule bar yakinikuta hakuna tena Bia za bure, zile weita za weita wape kama walivyo hakuna tena! Si yanapenda Sigara siyapi kimsing nimeyakatia Umeme kila mahari Na Mavijana waliopanga kweny Nyumba zangu nayapandishia Kodi! Nayaona kama wachawi wangu tu!
Sasa Leo yananiuliza Mr. Hipocampus mbon umebadilika ghafla nayajibu na bado nitabadilika zaidi ya yule reptilie Chameleone, hovyo kabisa haya Mavijana Mdomo tu ila kwenye kupiga kura Hayapo!
RASMi sasa WABAYA WANGU SIO MaCCM BALI n haya VIJANA hasa yale oya naomba jero nikaunge kwa mangi!
NAOMBA wana JF wote Mnisupport katika Vita yangu hii na haya mavijana.
NAOMBA niwasalimie sasa. Salaam!
Binafsi nilikuwa moja ya wasisimamizi wa uchaguzi katika nafasi kubwa ya "OBSERVER MKUU" kwenye uchaguzi huu hivyo nilikuwa nakagua karibu kila kituo cha kata na majimbo mbalimbali.
Nikiri kabisa Sarakasi zilikuwepo na mie mwenyewe nimeshuhudia ila huna cha kufanya kwa kuwa ni agizo kutoka juu.
Kilichonifanya nije hapa ni juu ya hawa vijana ambao ukikutana nao mitaani wanalalamika kwamba maisha ni magumu na kweli namagumu.
Japo mie nina ajira ya serikali nilijitahidi sana kuyaeleza haya vijana umuhimu wa kujtokeza kupiga kura hata kama yanaona yataibiwa na tume ila kura yao ilikuwa na umuhimu yani "msg sent"hata kama watakuuibia ila Msg ingefka kwa watawala na kwa kuwa wao wana matatizo mengi basi ingesaidia.
Sasa kipindi natembelea vituoni nilikereka sana yaani utakuta kituo cha watu 1000 lakini waliopiga kura n 80 ,na ktk hio namba VIJANA n kumi tu na namba iliyobak n Mazee, Mabibi na mijanamke iliyopewa mikopo ya halmashauri.
VIJANA wengi walikuwa mtaani na wengne walikuwa wanawaleta hayo Mazee yenye damu ya MaCCM kwenye vituo na bodaboda kisha hayo bila Soni yanasepa! Ukiyauliza yanakwenda wapi Hayana Majibu yanachekacheka tu yanafikiri haya mambo hayawahusu!
Nilichoamua tokea juzi kwa hawa VIJANA sitawaonea tena huruma hata kama yakija kunilalamikia kuhusu hali zao za maisha kwa sababu hayajielewi.
Tokea juzi nimeyakatia mawasiliano HayA mAvijana kule bar yakinikuta hakuna tena Bia za bure, zile weita za weita wape kama walivyo hakuna tena! Si yanapenda Sigara siyapi kimsing nimeyakatia Umeme kila mahari Na Mavijana waliopanga kweny Nyumba zangu nayapandishia Kodi! Nayaona kama wachawi wangu tu!
Sasa Leo yananiuliza Mr. Hipocampus mbon umebadilika ghafla nayajibu na bado nitabadilika zaidi ya yule reptilie Chameleone, hovyo kabisa haya Mavijana Mdomo tu ila kwenye kupiga kura Hayapo!
RASMi sasa WABAYA WANGU SIO MaCCM BALI n haya VIJANA hasa yale oya naomba jero nikaunge kwa mangi!
NAOMBA wana JF wote Mnisupport katika Vita yangu hii na haya mavijana.
NAOMBA niwasalimie sasa. Salaam!