ahsante great thinker wa kutanguliza matusi.. mimi nilichosema SUMA LEE anatakiwa afahamu kuwa wimbo wake una mashabiki wenye itikadi tofautitofauti so kwa kuubadilisha na kuuimba mwenyewe kwa kusema HAKUNAGA kama CCM anakuwa anataka mashabiki ambao siyo CCM wasiupende tena. sasa hapo upunguani umetoka wapi. jifunze kutumia maneno stahiki!!Inaonyesha jinsi gani ulivyo na akili pungufu ndugu yangu,
Wasanii watachotafuta ni umaarufu na pesa tu.
atatumiwa na kutupwa km toilet paper amuulize marlow.
kuanzia leo natangaza kuacha kufagilia wimbo wa HAKUNAGA kwa sababu mwanamziki aliyeimba wimbo huu SUma lee kaamua kuubadilisha maneno yake na kuwa HAKUNAGA kama CCM (nimeona kweny TV akiwa Mwanza).
umeniboa sana Suma Lee. laiti ungejua kuwa una mashabiki wa aina tofauti tofauti usingefanya kitendo cha kipuuzi kama hiki. umeboa sana
kuanzia leo natangaza kuacha kufagilia wimbo wa HAKUNAGA kwa sababu mwanamziki aliyeimba wimbo huu SUma lee kaamua kuubadilisha maneno yake na kuwa HAKUNAGA kama CCM (nimeona kweny TV akiwa Mwanza).
umeniboa sana Suma Lee. laiti ungejua kuwa una mashabiki wa aina tofauti tofauti usingefanya kitendo cha kipuuzi kama hiki. umeboa sana
atatumiwa na kutupwa km toilet paper amuulize marlow.
atakufa kifo cha maro. labda aombe Mungu aendelee kubebwa na ccm. hii ameianza kitambo. jmos iloisha alikua tawi la ccm kurasini pale mti mlefu kwa huo huo wimbo.
na vicky kamata yeye kaimba nini au siku hizi yeye mitu mikubwa?