kuanzia leo sitasikiliza clouds radio wala kuangalia clouds tv

Haiwezi ikawa redio yenye ueledi hiyo clouds.........ruge ni mbulula anachukuwa masaa matatu kumjibu lady Lady JD....,
 
binafsi huwa siisikilizi kabisa wala siangaliagi tv yake. Ila ninaamini itaendelea kuvuma kwa sababu soko lake kubwa ni vijana wa mtaani na wamama/wadada wa uswahilini ambao wengi wao if not all are not analytical na wanapenda udaku wa hii redio
 
hahah clouds inanyima watu usingiziii...............ulivyoacha kusikiliza redio Tanzania dare salaam ulianzisha thread??em kwendraaa
 
binafsi huwa siisikilizi kabisa wala siangaliagi tv yake. Ila ninaamini itaendelea kuvuma kwa sababu soko lake kubwa ni vijana wa mtaani na wamama/wadada wa uswahilini ambao wengi wao if not all are not analytical na wanapenda udaku wa hii redio

dah we mjamaa umeongea ukweli mtupu
 
hii redio ina wasikilizaji wanaosemekana kuwa ni wengi lakini wingi unasababishwa na kufuata mkumbo bila kutafakali na kuona uhalisia wa mambo (Naamini Radi Free Africa ina wasikilizaji wengi na makini zaidi). Hii redio imewahi kuwa na akina Jimmy Kabwe enzi hizo na hata Kipanya ambapo unaweza kuwafananisha wafanyakazi wa enzi hizo na hao lakini leo ni akina Kibonde (naye anawakilisha wafanyakazi wa nyakati hizi).
Kwa jinsi staili ya maisha ya Watanzania ilivyo na ukilinganisha na uelewa wa watu ndio matokeo yake na si ajabu akaja hata mtu mwenye mawazo ya ajabu akaaminiwa! Kama Mh. Joseph Mbilinyi aliona hilo na watu hawakuelewa, akaja Judith Wambura sasa na naona wewe pia unafuatia ni wazi watu wanafikia upeo wa kung'amua pumba na mchele ni zipi. Ila tuseme kweli hawa jamaa bila wadau kuungana na kuwapinga kwa pamoja, fitina wanaijua!
 
Kuna watu walisema hawatazami TBC wala kusikiliza, cha ajabu kila siku wanachangia mada zinazoendelea TBC!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom