Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
ni kweli aliyeondoka Dr Salmin na huyu Dr Amani vile maalim Seif na yeye bado hajapata Dr ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If you must drink and drive, drink milk.
ni kweli aliyeondoka Dr Salmin na huyu Dr Amani vile maalim Seif na yeye bado hajapata Dr ?
Ni kweli: kulikuwa na Dr. Omar Juma, Dr. Bilali, na leo kuna Dr. Shein. List ni ndefu tu.
ni kweli aliyeondoka Dr Salmin na huyu Dr Amani vile maalim Seif na yeye bado hajapata Dr ?
Ni kweli: kulikuwa na Dr. Omar Juma, Dr. Bilali, na leo kuna Dr. Shein. List ni ndefu tu.
Hivi Mnyika hakumaliza Shule yake ya jioni pale Mlimani,nakumbuka kuna kipindi wakati namalizia shahada yangu ya Uzamili alikuwa akisoma pale BBA.hongera mheshimiwa Dr Amaan Abeid Karume kutunikiwa shahada ya udaktari Phd.akina mbowe,mwanakijiji na mnyika mpaka leo hata degree hawana.hii inadhihirisha kuwa zanzibar bado inaongozwa na marais wasomi.
HIVI UDAKTARI WA HESHINA HONORORIA CAUSA MNAOFAHAMU? ni lazima ufanye jambo linalotambulika kuwa mchango mkubwa kwa maendeleo ya jamii, amefanya lipi? kuna kigeugeu kikubwa cha marekani kuhusu zanzibar, ninaaamini wamarekani hawaipendi cuf, kwa kuwa mambo waliyofanyiwa cuf tangu 1995, ingekuwa nchi nyingine wamarekani wangekuw apale na manowari zao za kivita. huenda huyu waliyempa udaktari wa heshima ni taahira au ndondocha lao
Isijekuwa aliyeandika hapo juu ndie ndondocha....... huenda huyu waliyempa udaktari wa heshima ni taahira au ndondocha lao
hongera mheshimiwa Dr Amaan Abeid Karume kutunikiwa shahada ya udaktari Phd.akina mbowe,mwanakijiji na mnyika mpaka leo hata degree hawana.hii inadhihirisha kuwa zanzibar bado inaongozwa na marais wasomi.
ktk press conference ilofanyika leo hii hapa IKULU ZANZIBAR,muheshimiwa rais wa zanzibar amesema mengi kuhusu usaniiwa cuf n.k lakini kubwa amesema kuwa ametunukiwa shahada ya heshima ya udaktari na chuo kimoja huko usa.
JF members......naomba kuanzia leo mheshimiwa rais wa zanzibar tuwe tunamuita Mheshimiwa Dr AMANI ABEID KARUME.
Kuitwa Dr is not an issue hapa .Tueleze usanii wa CUF ni upi ambao yeye kausema .Hili ndili kubwa linatugusa sote na si yeye kuwa doctor ahata akiwa Mganga mkuu sawa .Issue ya CUF tueleze anasemaje .
Mkuu alinifurahisha aliposema nafasi za uongozi walizonazo wapemba kwenye SMZ zinawatosha, anasema walimpa kura kama 20,000 tu, ilhali alishinda kwa kura zaidi ya 220,000! Alitumia utaratibu wa uwiano wa kura kuteuwa viongozi! Pemba alipata chini ya 10%, kwa hiyo waziri+naibu mmoja wanatosha!
Kama tukutumia uwiano wa kura (kama Dr. A.A. Karume asemavyo) then kwenye Serikali ya Muungano wawepo wazanzibar wangapi? Najua kura zao kwa JK hazifiki 2%!
Mkuu Roya Roy,
Unajua wakati mwingine Shule huwa inasadia kwa badhi ya mabo,Karume huwa anakurupuka tu,na hii imekuwa tabia sasa..au alikuwa ameweka makayoga