Jang Bo Go
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 854
- 253
Habari wadau
Mawaziri wa Jakaya Kikwete wamezidi kuangukia pua katika uchaguzi unaoendelea.
Baadhi ya waliokumbwa na dhahama hiyo ni Wassira, Chiza, Mwanri, Nundu, Kilango na Zambi..
Hata walioshinda ni kibahati nasibu mfano Mwakyembe.
Je Watanzania wenzangu tunapata somo gani hapa? Na tutegemee jipya gani kwa baraza jipya litakaloundwa na either Magufuli au Lowasa?
Mawaziri wa Jakaya Kikwete wamezidi kuangukia pua katika uchaguzi unaoendelea.
Baadhi ya waliokumbwa na dhahama hiyo ni Wassira, Chiza, Mwanri, Nundu, Kilango na Zambi..
Hata walioshinda ni kibahati nasibu mfano Mwakyembe.
Je Watanzania wenzangu tunapata somo gani hapa? Na tutegemee jipya gani kwa baraza jipya litakaloundwa na either Magufuli au Lowasa?