Ninakiu ya ukwel naukwel huo nikusikia Sita anakuwa spika wa bunge lijalo. Huyu nikiongoz wa kwel alie leta maana ya Bunge. Uzalendo wake,umahiri wake wakufanya mambo huku akiamini kuwa kiongoz nikufanya maamuzi ya haki kwa masilah ya wengi, mvumilivu namfano wa kuigwa ktk kizay hk. Mungu mbariki Sita.