Mkuu usihofu CCM chali! enhe tupe tathimini yako nini muelekeo wa chama hiki kikongwe baada ya kipigo hiki cha aibu kabisa? JFLive analysis kama CNN 24/7 hahahaha!jamani matokeo halisi ya arumeru ni yapi? maana naona thread nyingine inasema CCM imeshinda nyingine CHADEMA
Unafikiri nini kitafuata kwa chama hiki kikongwe?
Okay ndugu Jasusi very good analysis! Vipi issue ya kuvuana magamba baada ya aibu hii ya karne?Kuna kitu kinaitwa domino effect. CCM walikuwa wanataka kuhakikisha kuwa Chadema kisionekane kuwa chama cha umakini wowote. Ndio maana wali invest heavily katika uchaguzi wa Arumeru. Ukisikiliza hotuba za Mkapa, ya ufunguzi na ya kufunga, utaelewa ninachomaanisha. Sasa kama karata yao ya kuzuia domino effect haikufua dafu watakachoshuhudia sasa kuelekea 2015 ni hiyo hiyo domino effect ambayo matokeo yake ni kwamba kufikia 2015 CCM tuijuavyo sasa haitakuwa tena CCM yenye mvuto.
The question is: nani atamvua nani magamba? Unadhani Kikwete kweli anaweza kumvua EL magamba yake? Hawa wote wanajuliana siri zao. Kwa kumvua mtu magamba unatakiwa wewe uwe msafi. They are all dirty kama alivyosema wakati mmoja Mkapa. Magamba yataizika CCM.Okay ndugu Jasusi very good analysis! Vipi issue ya kuvuana magamba baada ya aibu hii ya karne?