Kuanguka kwa Lowassa: Kumbe Kikwete na Lowassa Walizungukwa. MMhhh!

Kaldinali

JF-Expert Member
May 25, 2012
263
144
From Mwanahalisi:

Katika sakatala Richmond, Kikwete alishauriwa na hatimaye akakubali kuundwa kwa Kamati Teule ya Bunge. Kikwete hakujua mkenge aliokuwa anauingia. Alipotoshwa na washauri wake ane akapotoka. Baada ya uchunguzi, Edward Lowassa mwenyewe anasema alimshauri Kikwete afike Dodoma usiku ili "kuzima" maasi ya wabunge wa CCM. Lakini washauri wakampotosha kuwa amshauri Lowassa aandike barua ya kujiuzuru lakini asiikubali.

Lowassa alipoondoka kurudi mjini, Kikwete akashauriwa naye akakubali Kujiuzulu kwaLowassa. Hii ilikuwa usiku wa manane na bila kumshirikisha Lowassa. Kikwete hakujua madhara ya jambo hilo. Alipotoshwa, akapotoka.

Serikali ikavunjika. Akalazimika kuiunda upya. Vita kali ya makundi ikahamia ndani yabaraza la mawaziri na kwenye chama. Hadi sasa, si Lowassa wala Kikwete aliye nafuraha na maamuzi yale yaliyotokana na ushauri mbaya aliyopewa rais.
 
From Mwanahalisi:

Katika sakatala Richmond, Kikwete alishauriwa na hatimaye akakubali kuundwa kwa Kamati Teule ya Bunge. Kikwete hakujua mkenge aliokuwa anauingia. Alipotoshwa na washauri wake ane akapotoka. Baada ya uchunguzi, Edward Lowassa mwenyewe anasema alimshauri Kikwete afike Dodoma usiku ili "kuzima" maasi ya wabunge wa CCM. Lakini washauri wakampotosha kuwa amshauri Lowassa aandike barua ya kujiuzuru lakini asiikubali.

Lowassa alipoondoka kurudi mjini, Kikwete akashauriwa naye akakubali Kujiuzulu kwaLowassa. Hii ilikuwa usiku wa manane na bila kumshirikisha Lowassa. Kikwete hakujua madhara ya jambo hilo. Alipotoshwa, akapotoka.

Serikali ikavunjika. Akalazimika kuiunda upya. Vita kali ya makundi ikahamia ndani yabaraza la mawaziri na kwenye chama. Hadi sasa, si Lowassa wala Kikwete aliye nafuraha na maamuzi yale yaliyotokana na ushauri mbaya aliyopewa rais.

Ni nani huyo aliyemshauri RAIS kukubali Kujiuzulu kwa Mh. Kikwete ndani ya Serikali ya Kikwete?

Nadhani kulikuwa hakuna Mtu yoyote karibu yao; Ni wao wawili halafu Makundi; Iweje kulikuwa Mwingine wa

Kuaminika????
 
Habari hii ilishatinga hapa looong time ago,tofauti ni kuwa ile ilikuja kwa mtiririko mzuri na unaoeleweka kuliko huu,anyway asante kwa kutukumbusha.
 
hawa mwanahalisi habari nyingi wanazichukua humu jf na kuzigeuza kidogo tu ionekane watafutaji wa habari.!
 
From Mwanahalisi:

Katika sakatala Richmond, Kikwete alishauriwa na hatimaye akakubali kuundwa kwa Kamati Teule ya Bunge. Kikwete hakujua mkenge aliokuwa anauingia. Alipotoshwa na washauri wake ane akapotoka. Baada ya uchunguzi, Edward Lowassa mwenyewe anasema alimshauri JK afike Dodoma.....

Source yako ni gazeti la Mwanahalisi la tarehe, mwezi na mwaka upi?
 
mnarudia kuandika makala za 2008?....hakuna aliyepotosha wala upotoshwa......lowasa alistahili adhabu ile......
 
Mbona mnarudia matapishi? LA alishajiuzulu kwa nini mnamkumbusha machungu? mtoa mada naona anataka kutuhadaa kuwa kuna Makundi ndani ya Chama wakati ni Uongo. Kama ni kundi la JK mbona anamaliza muda wake 2015 kwanini alete Madhara wakati maamuzi yote yanatokana na Vikao vya Chama?sasa hivi ndio ngazi ya kata Uchaguzi unamalizika, itakapofika ngazi ya halmashauri Kuu na CC ndio utaweza tabiri LA atagombea lkn kwa sasa Ng'ooooo
 
wacha wapotee!!!!! walidhani kuchukua madaraka ni kula kuku na bata na totoz...... , mwalimu alisema bado ni watoto sasa ndo tumemwelewa,
 
Back
Top Bottom