Kuangalia tbc kwenye computer yako.

tizo1

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
856
145
Jamani wataalamu naomba kuuliza.Nahitaji kuwa naitumia computer yangu aina ya dell kuangalizia steshen kama tbc,chanel 10 nk.Je nahitaji nini na nini ili niweze kuangalia tv kwa kutumia computer yangu?
Msaada jamani.
 
kwanza tv tuner ni kifaa ambacho utakonnect na comp yako ambayo itakuwezesha kupata tv stations iko chombo kna sehem ya kuweka waya wa uhf ambao ndo wa antena vle vle ina depend na tv tuner nyingne huwa na remote na pia sehemu za kukonnect components za video kama dekoda,dvd player n.k. 0k pia kabla ya kununua unatakiwa pia kuchk compability ya iyo tuner na comp yako kama zinaendana na pia ni vyema kununua internal tv tuner card baadala ya external coz external kama usb port zako hazna nguvu na hutoa umm pungufu haita fanya kaz so angalia sana compapabilty kwanza and last tym i chkd nilinunua external tv tuner ilikuwa sh 45000. Sijui sasa itakuwa hw much lakn bei ni arnd apo.
 
Nami nasubiri majibu, umenitangulia kuuliza.
Nilishawahi sikia toka 2004/2005 kuwa teknolojia hii ipo (sijui ilikuwa changa la macho?).

Tusubiri wataalamu watupatie khabari!
Kama tunaweza kusikiliza TBC kwenye simu kwa nini kwenye computer tusiweze?
 
kwanza tv tuner ni kifaa ambacho utakonnect na comp yako ambayo itakuwezesha kupata tv stations iko chombo kna sehem ya kuweka waya wa uhf ambao ndo wa antena vle vle ina depend na tv tuner nyingne huwa na remote na pia sehemu za kukonnect components za video kama dekoda,dvd player n.k. 0k pia kabla ya kununua unatakiwa pia kuchk compability ya iyo tuner na comp yako kama zinaendana na pia ni vyema kununua internal tv tuner card baadala ya external coz external kama usb port zako hazna nguvu na hutoa umm pungufu haita fanya kaz so angalia sana compapabilty kwanza and last tym i chkd nilinunua external tv tuner ilikuwa sh 45000. Sijui sasa itakuwa hw much lakn bei ni arnd apo.
<br />
<br />

umemaliza kila kitu mkuu.ila anatakiwa awe makini kwan tunner nyingine mi boya
 
kwanza tv tuner ni kifaa ambacho utakonnect na comp yako ambayo itakuwezesha kupata tv stations iko chombo kna sehem ya kuweka waya wa uhf ambao ndo wa antena vle vle ina depend na tv tuner nyingne huwa na remote na pia sehemu za kukonnect components za video kama dekoda,dvd player n.k. 0k pia kabla ya kununua unatakiwa pia kuchk compability ya iyo tuner na comp yako kama zinaendana na pia ni vyema kununua internal tv tuner card baadala ya external coz external kama usb port zako hazna nguvu na hutoa umm pungufu haita fanya kaz so angalia sana compapabilty kwanza and last tym i chkd nilinunua external tv tuner ilikuwa sh 45000. Sijui sasa itakuwa hw much lakn bei ni arnd apo.

Kwa niaba ya muuliza swali la msingi, napenda kutoa shukrani zetu za dhati, lakini pia tunaomba contacts za wadau wa hizo TV TUNER (email address, phone numbers, physical contact address et.c, et.c, ........).
 
Kwa niaba ya muuliza swali la msingi, napenda kutoa shukrani zetu za dhati, lakini pia tunaomba contacts za wadau wa hizo TV TUNER (email address, phone numbers, physical contact address et.c, et.c, ........).
<br />
<br />
bila shaka. Mkuu kifaa hchi kinapatkana posta au k/koo kwny maduka ya electronics sana sana nakushauri uende posta na utazipata 2. Hio kwa dar kwengine sifaham na contacts za duka hizo sina mkuu lakini there easy to find tembelea 2 maduka ya electronics ambazo pia za ma computer na utafanikiwa.
 
Faida kwatumiaji wa voda kama simu yako inauwezo 3G unaweza kuangalia tbc na chanel kibao za afrika
1.ingia kwenye upande internet au wap
2.click homepage au browes Vodacom Tanzania - Homepage chagua dstv
3.chagua tv uipendayo
4.taratiiibu watch as you can is free ulipie
 
Ombi jaman samahani sana kwani kila nikijaribu kupost new post wananikatalia kabisa wakuu naombeni msaada wenu tafadhali nna mengi ya kupost asanteni
 
Jamani nashukuru kunijuza....asante wataalam wote.Nitashukuru kama kuna mtu atanipa bei ya hiyo tv tunner.
Asanteni sana......
 
Ombi jaman samahani sana kwani kila nikijaribu kupost new post wananikatalia kabisa wakuu naombeni msaada wenu tafadhali nna mengi ya kupost asanteni
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br
Umefanyaje ukapost hii????
 
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br <br />
Umefanyaje ukapost hii????
<br />
<br />

kunamatukio kibao imeshindikana kuposit sijajuwa kama wahusika wanalifaham isijeeikawa maadui wa jf wamefanikisha kuchakachua
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom