<br />kwanza tv tuner ni kifaa ambacho utakonnect na comp yako ambayo itakuwezesha kupata tv stations iko chombo kna sehem ya kuweka waya wa uhf ambao ndo wa antena vle vle ina depend na tv tuner nyingne huwa na remote na pia sehemu za kukonnect components za video kama dekoda,dvd player n.k. 0k pia kabla ya kununua unatakiwa pia kuchk compability ya iyo tuner na comp yako kama zinaendana na pia ni vyema kununua internal tv tuner card baadala ya external coz external kama usb port zako hazna nguvu na hutoa umm pungufu haita fanya kaz so angalia sana compapabilty kwanza and last tym i chkd nilinunua external tv tuner ilikuwa sh 45000. Sijui sasa itakuwa hw much lakn bei ni arnd apo.
kwanza tv tuner ni kifaa ambacho utakonnect na comp yako ambayo itakuwezesha kupata tv stations iko chombo kna sehem ya kuweka waya wa uhf ambao ndo wa antena vle vle ina depend na tv tuner nyingne huwa na remote na pia sehemu za kukonnect components za video kama dekoda,dvd player n.k. 0k pia kabla ya kununua unatakiwa pia kuchk compability ya iyo tuner na comp yako kama zinaendana na pia ni vyema kununua internal tv tuner card baadala ya external coz external kama usb port zako hazna nguvu na hutoa umm pungufu haita fanya kaz so angalia sana compapabilty kwanza and last tym i chkd nilinunua external tv tuner ilikuwa sh 45000. Sijui sasa itakuwa hw much lakn bei ni arnd apo.
<br />Kwa niaba ya muuliza swali la msingi, napenda kutoa shukrani zetu za dhati, lakini pia tunaomba contacts za wadau wa hizo TV TUNER (email address, phone numbers, physical contact address et.c, et.c, ........).
<br /><br />Ombi jaman samahani sana kwani kila nikijaribu kupost new post wananikatalia kabisa wakuu naombeni msaada wenu tafadhali nna mengi ya kupost asanteni
<br />&lt;br /&gt;<br /><br />
&lt;br /&gt;<br <br />
Umefanyaje ukapost hii????
Faida kwatumiaji wa voda kama simu yako inauwezo 3G unaweza kuangalia tbc na chanel kibao za afrika
1.ingia kwenye upande internet au wap
2.click homepage au browes Vodacom Tanzania - Homepage chagua dstv
3.chagua tv uipendayo
4.taratiiibu watch as you can is free ulipie