Kuangalia mpira na mkeo ina madhara haya ,hasa ukiwa shabiki wa Arsenal

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
・・・
USITHUBUTU

*KUTIZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI QUESTION QUESTION STRESS TUPU*

*Mke:* _Honey timu gani zinacheza leo?_

*Mume:* ```Arsenal vs Manchester Utd```

*Mke:* _oooh safi sana, ninaipenda Arsenal._

*Mume:* ```Safi hiyo timu nzuri sana, hujakosea Darling.```

*Mke:* _Drogba anacheza?_

*Mume: ```Drogba hachezei timu yoyote kati ya hizi zinazocheza hapa.```

*Mke:* _Okey sweety. Oh huyo ni Chriss Brown?_

*Mume:* [akiwa ameboreka]
```Hapana huyo ni Theo Walcott.```

*Mke:* _Ahaa ila wanafanana sana. Hiyo kadi ya njano aliyoonyeshwa huyo mchezaji n ya nin?_

*Mume:* ```Hilo ni onyo kwa mchezaji aliyeonesha utovu wa nidhamu kwenye mchezo.```

_*```Baada ya dakika chache Wayne Rooney akafunga gori la kwanza kwa Manchester utd```*_

*Mke:* [Huku akishangilia pasina kujua timu yake ndiyo iliyofungwa]
_Oh oh Mume wangu Huyo ni walcot ndio amefunga goli ee?_

*Mume:* [akiwa mpolee baada ya kufungwa]
```Hapana sio Walcott ni Rooney ndio ameifunga Arsenal.```

*Mke:* [akiwa amefura hasira]
_Kwanini? Ilitakiwa Arsenal ndio ashinde._

*Mume:* [kimya]

*Mke:* _Hiyo kadi nyekundu aliyoonyeshwa huyo mwenye kiduku ni ya nini?_

*Mume:* [akiwa ameboreka kweli kweli]
```Hiyo kadi nyekundu inamaanisha kwamba mchezaji atoke nje kutokana na kufanya madhambi uwanjani.```

*Mke:* _Kwaio akitoka nje anaenda kuwa kocha?_

*Mume:* [akiwa amechoshwa na maswali ya mkewe huku akiwa hana utayari wa kujibu]
```Aaaaaaaa Hapana wife. Anatoka nje kabisa hatakiwi kuonekana hata kwenye benchi la ufundi.```

*Mke:* _kwaio kadi nyekundu ni kama taa za barabarani._
*Njano=Onyo*
*Nyekundu=Hatari*

*Mume:* [akijibu tu ilimradi yaishe]
```Haswaaa mke wangu, hivyo hivyo.```

*Mke:* _Vipi kuhusu kadi ya kijani_

*Mume:* ```mmmmmh hapana kitu kama hicho katika mpira wa miguu.```

*Mke:* _Nataka Arsenal ishinde kombe la Dunia_

*Mume:* [akaguna]
```Kombe la dunia ni mashindano ya mpira wa miguu baina ya nchi na nchi na Arsenal sio nchi ni klabu ya mpira. Inacheza kwenye ligi ya Uingereza```

*Mke:* _Ni nani huyo mbaba aliyesimama amevaa koti refu na anapua ndefu anaefanana na Mr. Bean?_

*Mume:* [akiwa ameboreka haswa]
```Huyo ni kocha wa Arsenal anaitwa Arsene Wenger.```

*Mke:* _Kwaio inamaanisha kwamba kocha wa hiyo timu pinzani anaitwa Machester Wenger?_

*Mume:* [akabadilisha channel na kuweka *TBC1 kipindi cha chereko*
 
・・・
USITHUBUTU

*KUTIZAMA MPIRA UKIWA NA MWANAMKE NI QUESTION QUESTION STRESS TUPU*

*Mke:* _Honey timu gani zinacheza leo?_

*Mume:* ```Arsenal vs Manchester Utd```

*Mke:* _oooh safi sana, ninaipenda Arsenal._

*Mume:* ```Safi hiyo timu nzuri sana, hujakosea Darling.```

*Mke:* _Drogba anacheza?_

*Mume: ```Drogba hachezei timu yoyote kati ya hizi zinazocheza hapa.```

*Mke:* _Okey sweety. Oh huyo ni Chriss Brown?_

*Mume:* [akiwa ameboreka]
```Hapana huyo ni Theo Walcott.```

*Mke:* _Ahaa ila wanafanana sana. Hiyo kadi ya njano aliyoonyeshwa huyo mchezaji n ya nin?_

*Mume:* ```Hilo ni onyo kwa mchezaji aliyeonesha utovu wa nidhamu kwenye mchezo.```

_*```Baada ya dakika chache Wayne Rooney akafunga gori la kwanza kwa Manchester utd```*_

*Mke:* [Huku akishangilia pasina kujua timu yake ndiyo iliyofungwa]
_Oh oh Mume wangu Huyo ni walcot ndio amefunga goli ee?_

*Mume:* [akiwa mpolee baada ya kufungwa]
```Hapana sio Walcott ni Rooney ndio ameifunga Arsenal.```

*Mke:* [akiwa amefura hasira]
_Kwanini? Ilitakiwa Arsenal ndio ashinde._

*Mume:* [kimya]

*Mke:* _Hiyo kadi nyekundu aliyoonyeshwa huyo mwenye kiduku ni ya nini?_

*Mume:* [akiwa ameboreka kweli kweli]
```Hiyo kadi nyekundu inamaanisha kwamba mchezaji atoke nje kutokana na kufanya madhambi uwanjani.```

*Mke:* _Kwaio akitoka nje anaenda kuwa kocha?_

*Mume:* [akiwa amechoshwa na maswali ya mkewe huku akiwa hana utayari wa kujibu]
```Aaaaaaaa Hapana wife. Anatoka nje kabisa hatakiwi kuonekana hata kwenye benchi la ufundi.```

*Mke:* _kwaio kadi nyekundu ni kama taa za barabarani._
*Njano=Onyo*
*Nyekundu=Hatari*

*Mume:* [akijibu tu ilimradi yaishe]
```Haswaaa mke wangu, hivyo hivyo.```

*Mke:* _Vipi kuhusu kadi ya kijani_

*Mume:* ```mmmmmh hapana kitu kama hicho katika mpira wa miguu.```

*Mke:* _Nataka Arsenal ishinde kombe la Dunia_

*Mume:* [akaguna]
```Kombe la dunia ni mashindano ya mpira wa miguu baina ya nchi na nchi na Arsenal sio nchi ni klabu ya mpira. Inacheza kwenye ligi ya Uingereza```

*Mke:* _Ni nani huyo mbaba aliyesimama amevaa koti refu na anapua ndefu anaefanana na Mr. Bean?_

*Mume:* [akiwa ameboreka haswa]
```Huyo ni kocha wa Arsenal anaitwa Arsene Wenger.```

*Mke:* _Kwaio inamaanisha kwamba kocha wa hiyo timu pinzani anaitwa Machester Wenger?_

*Mume:* [akabadilisha channel na kuweka *TBC1 kipindi cha chereko*
Mods fungueni jukwaa la watoto ili thd kama hizi ziwe zinatumwa huko.
 
Back
Top Bottom