JuniorGee
Member
- Jan 26, 2018
- 97
- 125
Habari wanajamvi, nimenunua tcl smart TV na nimesikia kuna uwezekano wa kutizama channel za bure kwa kutumia antenna ya kawaida kabisa
Tafadhali mwenye uelewa juu ya hili suala anisaidie tafadhali
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhali mwenye uelewa juu ya hili suala anisaidie tafadhali
Naomba kuwasilisha
Sent using Jamii Forums mobile app