Watunduru
Senior Member
- Dec 29, 2011
- 170
- 39
Wadau naomba kujuzwa,inasemekana elimu ya msingi ada imefutwa lakini kumwandikisha mtoto darasa la kwanza bila kutoa elfu kumi hupewi nafasi,hivi hii ada ya kumwandikisha mtoto shule ni ya nini hasa na inaingia ktk mfuko gani?je inatambulika na inafanyiwa ukaguzi au ni takrima tu waliyojiwekea waalimu?wataalam naomba mnijuze.