Grand Canyon
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 455
- 919
Ninataka kuandika wosia ili familia yangu isije kupata matatizo huko mbeleni.
Nimeshuhudia familia zilizosambaratika na watu kuuana kisa mzee hakuandika wosia, nataka kuepusha familia matatizo hayo, ila nahisi nikiandika wosia kifo kitapiga hodi.
Kwa nini kuandika wosia kunaleta hofu ya kwamba uko karibu kufa?
Nimeshuhudia familia zilizosambaratika na watu kuuana kisa mzee hakuandika wosia, nataka kuepusha familia matatizo hayo, ila nahisi nikiandika wosia kifo kitapiga hodi.
Kwa nini kuandika wosia kunaleta hofu ya kwamba uko karibu kufa?